UDSM mwaka huu kuna nini?

UDSM mwaka huu kuna nini?

Babuu

Afu mbona sijawahi kuwa kilaza, toka O level shule ya bweni (single sex), Advance Special School, Chuo UDSM hapo COET.

Sema nn sometimes najichetua ili maisha ya flow vile yanataka kuwa.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
nakuaminia hapo
,sie kambini huku Sudan/congo ukiona mwenzio kachapwa unachukua munduki kusonga mbere hamna kulala
 
Habarini wana jukwaa.

Nimeona nije hapa jukwaani nitoe hili jambo, huenda nitapata ufafanuzi.

Nimekuwa nikikutana na malalamiko ya wanafunzi waliomaliza form 6 mwaka huu, wanaotarajia kujiunga na vyuo hivi karibuni. Wengi wao wanalalamika kuwa kila waombapo nafasi UDSM wanakataliwa, na wengine wanadiriki kusema kuwa vigezo sahihi wamekidhi kulingana takwa husika.

Sio mtaani wala mtandaoni ni malalamiko juu ya vijana na mabinti wanaotarajia kujiunga na Elimu ya Juu. Kuhusu Kukataliwa kuwa admitted hapo UDSM.

kuna huyu jirani yangu, yeye alisoma Ilboru Sec mchepuo wa PCM, kapata 1 ya 5, kachagua Udsm Course ya Civil Engineering, kakosa, bas analalama kila muda, hapa hata mie nimeshanga, huyu vigezo amekidhi kabisa, au labda huu mwaka 1 ya 3 na 4 ziko nyingi, hivyo inafanya wenye 5 na kuendelea wakose nafasi hapo COET?

Na Malalamiko ni kwa kila kada wanalalama mno, huku wakiwa na 1 zao nzuri, shida nn? Au utaratibu umebadilika hapo siku hizi? Kulikoniii?

Najua hapa kuna wafanyakazi, wana taaluma, wahadhiri, kutoka hapo UDSM, hebu mje mtoe ufafanuzi kutuondolea sintofahamu hii, maana huku uraiani hali ni mbaya watoto wanavurugwa vibaya, wakati ndoto zao ni kuwa hapo Mlimani main campus.

Tujuzweee kulikoniiiii?
Kwani ni lazima wachaguliwe UDSM!? Waombe Vyuo vingine
 
kuna huyu jirani yangu, yeye alisoma Ilboru Sec mchepuo wa PCM, kapata 1 ya 5, kachagua Udsm Course ya Civil Engineering, kakosa, bas analalama kila muda, hapa hata mie nimeshanga, huyu vigezo amekidhi kabisa, au labda huu mwaka 1 ya 3 na 4 ziko nyingi, hivyo inafanya wenye 5 na kuendelea wakose nafasi hapo COET?
Wenye 1 ya 3 na 4 ni wengi saaana kwa hio wanawachukua hao na wenye 1 ya 5 ni wengi zaidi kwa hio chuo kinachukua cream yaan 1 ya 3 au 4 tu kwa mwaka huu sababu ni wengi elimu mseleleko kizazi cha AI
 
Kama wewe hukuona cha kusoma huko iweje wao? Kwanza hakuna hata mto, bahari tutakuwa tumewaonea sana watu wataogelea wapi๐Ÿ˜‚
Kwa kada yangu mie, ni UDSM, DIT, MUST, ATC.
Nashukuru 1St round ikatiki UD, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
kwa matokeo yangu, ingekua ndo mwaka huu, MUST na DIT zingenihusu. Lol
 
Back
Top Bottom