Aisee 🤔🤔Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Kwan bandiko linasemaje??Hivi adui hasa wa chadema ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Kwani bandiko lake linasemaje?Kwa hiyo umefurahia au unahuzunika?
wew jamaa utakua na mtindio wa ubongo sio bure. Una mawazo mgando sana. Yaani wew ni mpinzani usiejielewa. Pole sana bro.Tunafahamu kwamba hata hiyo 4.7% ni ya kutengenezwa tu
Na bado mtajificha humu ngoja mama atulie, awambie ukweli ,mungu wenu wa Chato alikua Hitler na stetaniMama naye kaanza kuchapia! Uchumi unapimwa kwa GDP. Anaposema umeshuka kutoka 6.9% kwenda 4.7% ana maanisha nini hasa? Au alikusudia kasi ya "ukuaji wa uchumi" wetu imepungua? Contraction (kushuka) kwa uchumi ingalikuwa negative rate. Ama?
Uchumi wa kati labda lile gundi walilombandika mdomoni.😂😂😂Mzee wa uchumi wa kati alituacha kwenye mataa
Mbona huwa inasemwa itakuwa mlikuwa tu hamfatilii na kuchambua hotuba naona hata mleta mada ndo leo anaskia wakati hata samia alipokuwa anahutubia bunge alisemaTatizo siyo kushuka kwa uchumi, hapa tatizo ni kwanini walikuwa hawataki kukili kuwa uchumi unadorora kisa korona ?
Hivi adui hasa wa chadema ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Mungu wenu Jiwe aliwapotosha watu . Ohh uchumi wa kati, oohh sijui vita vya uchumi, oohhh Tanzania tumeishinda Corona !!! Yako wapi ?! Zaidi ya kuishia kumzoa na yeye .Una hoji hawa nyumbu Mkuu? Ni matumizi mabaya ya muda!
Yani nikiangalia hiyo picha mdomo ulivobanwa, nabaki kuguna tu.Uchumi wa kati labda lile gundi walilombandika mdomoni.😂😂😂
Nafikiri hujaelewa tu ninachosema. Ukisema uchumi umepungua kutoa 6.9% kwenda 4.9%, haina maana yoyote (kiuchumi). Maana nitakuuliza uchumi wa 6.9% ipoje? Uchumi unapimwa kwa GDP (say, TZS 150 trillion). Hiyo anayosema mama naamini ni "ukuaji" wa hiyo GDP ....kwa maana kwamba uchumi ulikuwa unakua kwa 6.9% lakini "kasi" hiyo sasa imepungua mpaka 4.7%. Hii maana yake ni kuwa uchumi bado unakua lakini kwa kasi ndogo kuliko mwanzo. Ukisema uchumi umepungua au kushuka ni dhana tofauti ....hapo unazungumzia contraction.....(labda useme kutoka TZS 150tr mpaka TZS 140tr).Na bado mtajificha humu ngoja mama atulie, awambie ukweli ,mungu wenu wa Chato alikua Hitler na stetani
Nimerudi rafiki yangu wa kitambo kutafakari Tanzania ya kesho inaendajeHayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Kama mwingine aliwahi kusema boss yuko ikulu anachapa kazi !! Wakati mtu yuko ICU !! Ndiyo umshangae mwigulu , aliyerudi barazani kwa kujikomba !!MWIGULU na genge lake wajiuzulu kwa kudanganya waTanzania kwa muda mrefu.
Eti hakuna Corona wala hakuna adhari za koona.
WTF
Mungu wenu Jiwe aliwapotosha watu . Ohh uchumi wa kati, oohh sijui vita vya uchumi, oohhh Tanzania tumeishinda Corona !!! Yako wapi ?! Zaidi ya kuishia kumzoa na yeye .
Mungu ni fundi, tena fundi mkuu
Usilie , jiwe katokomeza nchiwew jamaa utakua na mtindio wa ubongo sio bure. Una mawazo mgando sana. Yaani wew ni mpinzani usiejielewa. Pole sana bro.
Hongera kamandaHayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .