Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,677
Kale ka sheria kuwa kila timu lazima iweke logo yenye Rangi halisi ya mdhamini kamepotea
Huu sasa ndio muda muafaka wa TTCL Customer Care kuwekeza, si wamesema wako vizuriNdio maana saa wanatudhulumu mpaka vifurushi.
Unaelewa ulichoandika? Sasa voda ulitaka ale pesa za matangazo kwani anaonesha mpira? Kwenye kudhamini mpira unajua kwamba udhamini wako utakua upo kwenye maeneo yapi na nembo yako itakaa wapi. Voda ana maeneo yake na Azam ana ya kwake.TFF inaendeshwa kipumb.v sana..
Azam wamelipa haki za kuonesha mpira kwa miaka kumi in lumpsum bila kujal kuwa league yetu inakuwa kila mwaka..
Alaf Voda com ndio wajipendekeze na kutoa hela za bure huku Azam wakilamba hela za matangazo na subscription fee.. League jinga hiyo
Hata mimi nilitaka kusema hivyo hivyo umeniwahi.Wamepunguza timu kwenye ligi halafu wanajitoa
Kumbe haukuvunja line?Ndio maana saa wanatudhulumu mpaka vifurushi.
Unamjibu tahira huyo mirisho pmUnaelewa ulichoandika? Sasa voda ulitaka ale pesa za matangazo kwani anaonesha mpira? Kwenye kudhamini mpira unajua kwamba udhamini wako utakua upo kwenye maeneo yapi na nembo yako itakaa wap. Voda ana maeneo yake na Azam ana yakwake.
Kampuni ya Mawasiliano Vodacom imelitaarifu Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Kuwa haina nia ya kuendelea kuidhamini ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League ikitoa sababu ya mwenendo mbaya wa Biashara.
Ni uchumi? Bwana Bakhresa kayatoa kwenye uchumi upi mabilioni atakayoyaweka kwenye Mpira?
Azam anakulaje pesa za bure?TFF inaendeshwa kipumb.v sana..
Azam wamelipa haki za kuonesha mpira kwa miaka kumi in lumpsum bila kujal kuwa league yetu inakuwa kila mwaka..
Alaf Voda com ndio wajipendekeze na kutoa hela za bure huku Azam wakilamba hela za matangazo na subscription fee.. League jinga hiyo
😄😄😄😄Ndio maana saa wanatudhulumu mpaka vifurushi.
Kama vipi 'Mo Dewji' aidhamini Ligi Kuu.Kampuni ya Mawasiliano Vodacom imelitaarifu Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Kuwa haina nia ya kuendelea kuidhamini ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League ikitoa sababu ya mwenendo mbaya wa Biashara.
Ni uchumi? Bwana Bakhresa kayatoa kwenye uchumi upi mabilioni atakayoyaweka kwenye Mpira?
Huyu boss wa mabox nayeye yuko kwenye kitete kama cha vodacom.Kama vipi 'Mo Dewji' aidhamini Ligi Kuu.
Boss umeelewa kweli ulichokiandika? Hebu pitia upya kwa utulive huenda ukaedit ulichoandikaTFF inaendeshwa kipumb.v sana..
Azam wamelipa haki za kuonesha mpira kwa miaka kumi in lumpsum bila kujal kuwa league yetu inakuwa kila mwaka..
Alaf Voda com ndio wajipendekeze na kutoa hela za bure huku Azam wakilamba hela za matangazo na subscription fee.. League jinga hiyo
Hata ningekuwa mimi ni Vodacom ningejitoa, ligi gani wasimamizi ata kupanga ratiba hawajui
Kwahiyo ulitaka voda wapate na nini cha ziada?TFF inaendeshwa kipumb.v sana..
Azam wamelipa haki za kuonesha mpira kwa miaka kumi in lumpsum bila kujal kuwa league yetu inakuwa kila mwaka..
Alaf Voda com ndio wajipendekeze na kutoa hela za bure huku Azam wakilamba hela za matangazo na subscription fee.. League jinga hiyo
Yaani hata mimi nimeshindwa kumwelewa, voda alikuwa anafaidika na uwepo wa azam maana alikuwa anatangaziwa biashara yake, ingekuwa labda azam ni telecom coy sawaBoss umeelewa kweli ulichokiandika? Hebu pitia upya kwa utulive huenda ukaedit ulichoandika