Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

hahaha naona gamba linalouwa watu liko mazoezini

1002750_603423719690503_396464491_n.jpg
Duh kweli yanga tuna hasara kubwa hapa.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

More Updates!! said:
Msimamizi wa uchaguzi amemtangaza Kaburu wa CDM kuwa mshindi. Kata za Elerai, Kimandolu na Kaloleni mawakala na wagombea wa ccm wamekataa kusaini matokeo!

Tahadhari, haya ni matokeo ya awali tu!

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]CHAMA/ KATA[/TD]
[TD]CDM[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Themi[/TD]
[TD] 678[/TD]
[TD]326[/TD]
[TD]313[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kimandolu[/TD]
[TD]2665[/TD]
[TD]1169[/TD]
[TD] 0[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kaloleni[/TD]
[TD]1019[/TD]
[TD]389[/TD]
[TD]169[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Elerai[/TD]
[TD]1715[/TD]
[TD]1239[/TD]
[TD]213[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Total[/TD]
[TD]6077[/TD]
[TD]3123[/TD]
[TD]695[/TD]
[TD="align: right"]9895[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Percentage[/TD]
[TD="align: right"]61.41486[/TD]
[TD="align: right"]31.56139[/TD]
[TD="align: right"]7.023749[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Nape Nnauye, nakukumbusha tu, Uchaguzi kuna kushinda na kushindwa!
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Hamy-D COMING OUT LIVE TODAY!!!
 
Naona jamaa karudi mpole.....Ila kuna nyuzi zingine anatakiwa azipitie kukanusha ile habari ya kurekodiwa na watu wa Mwigulu...
Kambi tofauti hizo mkuu, hata kule Arumeru zilikuwa kambi tofauti. Hapa ni lazima Nape afurahiye mno maana yeye na Mwigulu kunatofauti ingawa wanajaribu kuonesha Ulimwengu wapo wamoja. Nape subiri kupewa Ubalozi Afghanistan ndo kilichobakia. Nape lazima afurahie kushindwa kwa Nchemba Arusha. :love:
 
Hongera sana Nape kwa kuonyesha uzalendo wa kukubalia na matokeo. Ushaur wangu ni kuwa chama kijijenge na kutangaza sera na kurudisha imani ya watanzania juu ya CCM na kiachane na mpango wa kutumia nguvu ya dola na fedha nyingi kurubuni wananchi na kujidhatiti katika njia za panya kujihakikishia ushindi ikiwa ni pamoja na kuwaonea wapinzani kwa kila hila na namna. Chama kiridhie na kuheshimu mawazo na muono wa wananchi katika kutimiza haki zao za kikatiba na kisheria. Kumbuken kuw mambo mengi mnayoyafanya kiujanja ujanja hamfanyi na malaika bali ni hawa hawa watanzania na nikuhakikishie kuwa kama uko karibu na jamii utajionea mwenyewe jinsi hizo mnazosema siri jinsi zilivyozagaa mitaani kama maganda ya pipi. Pale mnapokanusha majukwani wananchi wanafinyiana chinichini huku wakiwacheka jins mnavyofanya. Wengi wapo nanyi kwa ajil ya mshiko ndo maana leo CDM wanasema kula CCM kura CDM. Kund la wazee na kinamama ambao ni wakereketwa wa fedha zenu wanogopa kujitokeza pale ulinzi wa polic unapoja kama leo.
 
Ndugu watanzania wenzangu kuna siku mwigulu kwa niaba ya hao wenzake niliowataja hapo juu alisema Bungeni kuwa CCM ilikuwa inakaribia kuchukua viti 4 vya udiwani jijini arusha.Na ndio maana CDM wakaamua kulipua mabomu.Je hii ni kweli make leo hakuna mabomu na wamepigwa kipigo cha mbwa mwizi.Ebu athibitishe kauli yake.Huyu sio mchumi na msimwamini hata kidogo huyu ni zuzu.
 
Tutafakari huu mchanganuo wa matokeo ya uchaguzi
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Themi[/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Kimandolu[/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Kaloleni[/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Elerai[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CDM[/TD]
[TD]678[/TD]
[TD]51%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]2665[/TD]
[TD]70%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1019[/TD]
[TD]65%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1715[/TD]
[TD]54%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM[/TD]
[TD]326[/TD]
[TD]25%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1169[/TD]
[TD]30%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]389[/TD]
[TD]25%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1239[/TD]
[TD]39%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CUF[/TD]
[TD]313[/TD]
[TD]24%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]169[/TD]
[TD]11%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]213[/TD]
[TD]7%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Jumla[/TD]
[TD]1317[/TD]
[TD]100%[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3834[/TD]
[TD]100%[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1577[/TD]
[TD]100%[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3167[/TD]
[TD]100%

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

CC Ruttashobolwa...ulipata kunena hili
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Mdogo wangu Nape,
Naamini hapo kwenye bold font ulikuwa unaamanisha "mambo yote".... Mfupa hauna ulimi..ooops
Anyway, ni kweli kama mambo yote yakienda sawa bila CCM kucheza rafu kama vile kutumia vibaraka wao POLISISIEMU, na kuiba kura; uchaguzi tends to be peaceful and CDM halalamikii matokeo.
Pamoja na kwamba CDM wameshinda katika kata hizo 4, bado kuna rafu ambazo zilitokea lakini Red Brigade ambayo imekuwa threat kwa Lumumba LLC iliweza ku-prevent total destruction ya Mwigulu & Co.

Fundisho: Tuache kulazimisha kuwachagulia wananchi kile ambacho wenyewe hawakitaki. Kama serikali ya Tanzania ilihalalisha mfumo wa vyama vingi, then tunatakiwa kufuata misingi inayoruhusu mfumo huo. Si lazima uwe na digrii ya Political Science kutambua hili, hata akili ndogo inayoongoza akili kubwa ikitumia busara inaweza kutambua hilo.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Japo mimi ni Chadema damu lakini kwa msimamo wako umeonyasha ukomavu wa kisiasa mungu akufungue uhamie cdm tupambane pamoja kuokoa nchi yetu
 
Ni mchumi kweli lakini siyo mwanasiasa mzuri.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
USHAURI WA BURE:

Endeleeni kuwatumia polisi, jwtz, wakuu wa wilaya, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, maofisa wa kata nk, mtaona mafanikio kabla 2015.
 
Safi sana Bwana Nape kwa Kuongea vizuri. Lakini napenda nikushauri. Tafadhali mwambieni Mwigulu kuwa aache kutuharibia chama chetu cha CCM. He is too much obsessed now with CHADEMA. CDM sasa hivi imepata umaarufu kwa sababu ya vituko na hila za Mwigulu dhidi ya CDM. Afanye siasa za kisomi kama anavyotamba kwamba yeye ni msomi. Ni kweli tulikuwa naye mlimani mimi nikiwa sayansi na yeye akiwa political science. Anajenga chuki dhidi ya wananchi. Tanzania bado hatujafika hatua ya kutishiana na vikundi vya mgambo kama ambavyo ccm na cdm wameanza. Mungu ibariki nchi yetu, Mungu ibariki CDM na CCM.
.......Mzee kama kweli upo ccm hongera sana....ni nadra sana kupata nondo za ukweli hivi kutoka ccm....nchi hii hasa vijana inabidi tubadilike
 
hahaha na hawa mashosti vip?


images

Hiki kidemu kipimwe akili, kiliweka topic hapa kikaongea upuuzi mpaka nikamsujudia Muumba kumshukuru kuwa kametoka kwenye chama chetu chenye akili. Kilisema MAGAMBA wameshashinda na CDM wanatapatapa, sasa kamelala mbele kwa kasi ya ajabu.
 
Back
Top Bottom