Kushindwa ni sehemu ya mchezo ccm jipangeni zaidi kwa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
upo kumbe? habari ya siku mingi, this time naona logistic ya china imeshindikana
Kushindwa ni sehemu ya mchezo ccm jipangeni zaidi kwa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
Nape waambie mawakala wako Kimandolu wasaini fomu za matokeo. Waache ushamba katika siasa za ushindani.
Kuna watu wameulizza
sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika
kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima
ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo
yote yamekwenda sawa).
osie,naenda kumnunulia mwanangu nepi asijikojolee ovyo, hahahahahhongera kwa kuukubali ukweli mchungu
Kwa hili mmeshikwa pabaya mtakoma 2015 hiyo ni rasha rasha tu subiri makubwa 2015
Asante mkuu huu ndiyo uongozi na upinzani safi. Tunategemea mtajipanga vyema kada game bado changa ni kama dakika tano za mwanzo. VIVA CCM....
Hivi tuliposhindwa Arumeru tulikataa kumbe?
Du! Huyo bibie jinsi alivyojiegemeza!!