Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Kwa mara ya kwanza tokea kuumbwa kwa Binaadamu ndio CCM mnakubali kushindwa. Sasa anzeni kufunga virago 2014 na 2015 ndio tunamaliza

mapepo yanaanzaa kuwatoka mmoja moja!kaanza huyo!toka pepo!toka muache awe huru!
 
CCM walilipua bomu kwa ajili ya kuwatisha wanaCHADEMA wasijitokeze kupiga kura, kinyume chake wanaCCM ndiyo wametishika na kushindwa kujitokeza kupiga kura. Hahaha, hao ndio M4C - hawatishiwi nyau, walishazoea milipuko ya mabomu. Chezea CHADEMA wewe!
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Kama mnalijua hili siasa za maji taka huwa mnafanya za nini? Mbona jana Domokaya wenu Mwigulu alikuwa na uhakika wa kushinda utafikiri yeye ndiye anapiga kura, leo mmeshindwa kuiba?
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Mkuu karibu nilidhani ile kashfa ya yule mwanamke imekufunika. Mwigulu anazidi kuizika CCM akimsaidia Ustaadh Abdalah Lowasa.

Kwa swala la uchaguzi wa arusha mkumbishe na Mwigulu aje atoe tamko maana ndo aliyekuwa anaongoza mapambano na watoto wake Shonza na Mwampamba
 
Kumbe mnajua CHADEMA si chama cha Wahuni eeh!!!! Sasa muwe tayari kukubali kushindwa na kukabidhi nchi kwa CHADEMA baada ya kupigwa mweleka mzito katika uchaguzi mkuu wa 2015.

CHADEMA Oyeeee! Oyeeee!


Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
 
pole gamba naona umenyeshewa mvua

naona gamba linalouwa watu kichwa chini

2.jpg

'si mtoke tu huko jamani kwani mmenyweshwa maji machungu,au..............watu kusoma hamjui hata picha hamuioni dah,ni heri uwe maskini wa pesa kuliko fukara moyo,kuweni kama mimi bwani timu inayoshinda ndio naishangilia sio ya nini kujipa presha bwana kwani kabila hiyo,araaaaa pumbaaaf'
 
chadema mwigulya mwigulya,mwigulya zigi zigi hahahaha unaona sasa mpaka naongea kilugha.chadema juu juu,juu zaidi
 
Wapenda mabadiliko wote tumuombe Mungu CCM waendelee kumtumia Nchemba kwenye siasa zao, itarahisisha sana CDM kuingia madarakani.
 
pole gamba naona umenyeshewa mvua

naona gamba linalouwa watu kichwa chini

2.jpg

'si mtoke tu huko jamani kwani mmenyweshwa maji machungu,au..............watu kusoma hamjui hata picha hamuioni dah,ni heri uwe maskini wa pesa kuliko fukara moyo,kuweni kama mimi bwana timu inayoshinda ndio naishangilia sio,ya nini kujipa presha bwana kwani kabila hilo,araaaaa pumbaaaf'
 
Muuaji wenu savimbi amethibitshiwa na Mungu kwamba ataendelea kushindwa na jehanamu inamsubiri. Damu za aliowaua kwa mabomu inamsubiri.,
 
Matokeo
ya uchaguzi leo yamewapa somo waachane na siasa za kijinga za
ubaguzi,udini,ukabila na ukanda zinazoenezwa na makada wao
wasira,nape,pinda,mwigulu na lowasa.inabidi ccm ijitenge na makada hao
ili kukinusuru chama.bila kusahau kulitumia jesh la polis kuonea wapinzani waziwazi.
 
pole gamba naona umenyeshewa mvua

naona gamba linalouwa watu kichwa chini

2.jpg

'si mtoke tu huko jamani kwani mmenyweshwa maji machungu,au..............watu kusoma hamjui hata picha hamuioni dah,ni heri uwe maskini wa pesa kuliko fukara moyo,kuweni kama mimi bwana timu inayoshinda ndio naishangilia sio,ya nini kujipa presha bwana kwani kabila hilo,araaaaa pumbaaaf'
 
Matokeo
ya uchaguzi leo yamewapa somo waachane na siasa za kijinga za
ubaguzi,udini,ukabila na ukanda zinazoenezwa na makada wao
wasira,nape,pinda,mwigulu na lowasa.inabidi ccm ijitenge na makada hao
ili kukinusuru chama.bila kusahau kulitumia jesh la polis kuonea wapinzani waziwazi.
Wafuasi wa CCM hapa JF wanawakubali sana Mwigulu, Shonza na Mwampamba.

Please do not spoil their strategy, waacheni waendelee na kikosi chao cha ushindi.

Kwa akili yao wataona unawaogopa hao.
 
Matokeo haya katika kipindi hichi yana athari kubwa sana kwa CCM....kuliko yangefanyika na zile kata nyingine june......strategist wa ccm wamechoka sana...lakini ni wale wakina mwampamba, shonza na nchemba so sishangai sana...
 
aisee, nape na ritz leo mmenifurahisha ila hamy d, mingoi na rejao mna akili za mwigulu, ila ndugu nape nikuulize kitu hivi ccm nayo ilishawai kushindwa? maana umesema kuna kwenye mashindano kuna kushinda na kushindwa
 
Njooni msaini fomu tukalale jamani!!!!! !!!!!!
 
Matokeo
ya uchaguzi leo yamewapa somo waachane na siasa za kijinga za
ubaguzi,udini,ukabila na ukanda zinazoenezwa na makada wao
wasira,nape,pinda,mwigulu na lowasa.inabidi ccm ijitenge na makada hao
ili kukinusuru chama.bila kusahau kulitumia jesh la polis kuonea wapinzani waziwazi.

Unadhani tatizo ndilo hilo?La, hasha raia wamechoka na hawa wakoloni weusi na wanyonyaji kuliko hata wale weupe.
 
Back
Top Bottom