Ngwanashigi Gagaga
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 430
- 300
Mkuu no way matokeo ya kila tuo yapo wazi ,tume ya uchaguzi Uganda niwapongeze, jamaa anambuluza Msevini sio KWA viwango hivi,but alishakubali hachia madaraka vinginevyo tegemea kua na marais wawili wa uganda