Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
Nikugambilee bana...she really got that fish face...hahaahaa!
 
Nilifikiri nimeliona peke yangu hili!!!
Wale wanaozungumziwa kwenye hii saga in wale wa Mkombozi Bank tu wa bilioni 70,sijaona kabisa wale wa Stanbic bank wa bilioni 200 wakizungumziwa kabisa na mbaya zaidi upande huo nasikia ndipo familia ya JK ilipoingiziwa!!!

Nafikiri kufukuzwa kwa Tibaijuka utakuwa mwanzo wa kujua yote,maana kuna kundi ambalo halitakubali mama huyo 'afe' peke yake!Kwani inavyoonyesha,ametolewa muhanga kwa ajili ya kuipoza tu hii saga!
Time will tell!!

Napenda sana hii movie iendelee wallah sema ndo hvyo watakua washampoza mama tibaijuka hawz kuwalipua
 
Napenda sana hii movie iendelee wallah sema ndo hvyo watakua washampoza mama tibaijuka hawz kuwalipua

Acheni ujinga huyo mama hana lolote na hakuna anachoweza kufanya...aling'olewa Jembe Lowassa na watu wanapeta kama kawa sembuse mhaya huyo
 
Huyu binti mjinga kweli! Hajui kuwa mama yake ni mwizi?
 
Ila mimi bado naamini Raisi hakupanga kumtema reprofesel ni baada ya kuona ile feedback toka kwa wazee. alikua hana jinsi zaidi ya kumgeuza mama wa watu mbuzi wa kafara.

Huku Tanescrow walifanya yao sikuona, kwani wazee walitoa feedback gani?
 
138811e450c6600c431b57079708cf9c.jpeg

Nimeona
Halafu kaneni follow
Haka katt vp...
Kabaya
 
Na wale wa Ikulu waliopokea kati ya milioni 800 na bilioni 5 je walizipokea kwa majina yepi!? Walitumia majina yao halisi au walitumia majina fake au ya "kampuni" zao? Bado kuna maswali mengi sana ambayo hayana majibu.
Kweli kabisa mkuu....
Hata Pasco aliwahi kuandika
. Haya majina yanayopigiwa kelele, ni majina ya "wema" wa kajibenki kadogo tuu, ka "Mkombozi", laiti watu wangeliyaona majina ya recipients wa sadaka za wema kubwa wa PAP toka libenki likubwa la Stanbic!, au majina ya "wema" mkubwa wa JR kutoka kwenye account yake ya nchini Holland, kuwa transifia "wanene" kupitia account zao zilizoko Credit Susie!, watu humu wangebaki midomo wazi!.
Hizo zote jk kapiga chenga na hazitachunguzwa kwani ameshasema fedha zilikuwa za iptl na mchakato ulifuata sheria , taratibu na kanuni (STK).
Hapa ni sisi raia kukomalia hii ishu mwanzo mwisho.
 
Last edited by a moderator:
tunataka mamake afilisiwe kabisa ili aoshe vyombo Uko aliko nyambafu kabisa
 
Ni ujinga wa hali ya juu. Sijui ni lini serikali itasimamia shule zake ili zirudi kuwa na heshima (angalau) kama zamani...

tukipata kiongozi anayejali elimu kama enzi za Mzee Kambarage, hehsima itarudi...enzi zile ilikuwa mtu akisoma private anaonekana hamnazo kichwani....lakini ukweli ni kuwa shule hizi za private...hasa zinazotamba kufaulisha vizuri haziwaandai watoto kuwa transformational learners isipokuwa zinawaandaa katika kujibu mitihani tu.
 
Mi siwezi bishana na mwanamke huyu . Am out of this thread.
 
helping young students? this is pure disgusting.....she must b brain impotent...binti ur Mama aka bibi bomba had stolen jamhuri's fund...
 
Ila kana sura, sijajua shingoni kushuka chini yukoje! Alafu nasikia eti lips za mdomoni are directly proportional to zile zingine za downstairs. Hilo camel toe, sipati picha!
 
pumbavu kabisa binti Tibaijuka wewe,kizazi cha kifisadi nyie,halafu mwambie mamako arudishe pesa zetu kabla hatujataifisha vi asset vyenu.
Kienglish kigumu hata sijamwelewa kabisa huyo mdada! Ila nataka ajue tunafahamu yote kuanzia milembe insurance brokers
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom