kweli uzuri upo kwenye macho ya mtuMtoto anamvuto sana
Am in love with her..she touched me that muci
![]()
Acha kurusha matusi bhanaaa
macho yake ya kiwiziwizi
Tibaijuka hana kosa. sababu ya jk kumuondoa inajulikana
Nilifikiri nimeliona peke yangu hili!!!
Wale wanaozungumziwa kwenye hii saga in wale wa Mkombozi Bank tu wa bilioni 70,sijaona kabisa wale wa Stanbic bank wa bilioni 200 wakizungumziwa kabisa na mbaya zaidi upande huo nasikia ndipo familia ya JK ilipoingiziwa!!!
Nafikiri kufukuzwa kwa Tibaijuka utakuwa mwanzo wa kujua yote,maana kuna kundi ambalo halitakubali mama huyo 'afe' peke yake!Kwani inavyoonyesha,ametolewa muhanga kwa ajili ya kuipoza tu hii saga!
Time will tell!!
Kwa jinsi mama fisadi Tibaijuka alivyoshupaa kwenye ile news conference hadi mishipa ya shingo kumsimama na kudai "sijiuzulu ng'oo" bila shaka hatakubali kuondoka kirahisirahisi labda Mkulu atamuahidi cheo kikubwa mahali ili aondoke kimya kimya vinginevyo itakuwa patashika nguo kuchanika pale Ikulu.
masai dada mpige mzinga bshosti mwezio,anaweza akakugawia kaburungutu kamoja toka ktk kale kibilioni ka bmkubwa aliko pewa na pedeshee rugemalira.
Chadema acheni matusi, Mama Tibaijuka hana kosa
masikini ya Mungu hakajui nini kanafanya...kajiingiza kwenye sakata ambalo angekaa kimya wala asingehusishwa sasa hapa kanajionyesha kanavyotetea urithi!!! anarusha mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya vioo...