Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
Heheheh

Hii kupata ushahidi ngumu...labda kama camera zilirekodi

Maana inawezekana mwenye akaunti (escrow) alienda kuwithdraw kisha akawakatia kila mmoja mpunga wake



Weka picha 🙂🙂...BT unadhani hawana ushahidi kuhusu hawa wezi wa mifuko ya Rambo na magunia? Wanao wanalindana tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
138811e450c6600c431b57079708cf9c.jpeg

Na hiyo mi-lips, huyu dawa yake ni kupiga magoti kisha blow jobbing.
 
Ungejua mkwanja walionao hata usingesema kuhusu hiyo mikweche STK. Watoto wote wa Tibaijuka wamejengewa nyumba Marekani

Sasa mama yake alikuwa anang'ang'ania office za umma ili nini? Kama bas wana pesa hivo...au hapo issue ni diplomatic passport? Au .....sielewi....
 
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 56m56 minutes ago

This is aimed at diaspora Tanzanians who are so desperate to be part of the convo but you aren't here with us. Shut. the. ***.up (5/7)
0 replies6 retweets0 favorites Reply
Retweet6
Favorite
More





KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 58m58 minutes ago

My mum did nothing wrong except wanting to help young girls get an education. A school built with my late father. Accepted a donation (2/7)
0 replies12 retweets0 favorites Reply
Retweeted12
Favorite
More






KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 46m46 minutes ago

But more disappointed about the women in Tanzania who are so happy to see a woman down on her luck. Don't worry your time will come.
0 replies9 retweets0 favorites Reply
Retweet9
Favorite









KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 44m44 minutes ago

So glad I can finally say how I feel about this whole #EscrowSaga. People believe what they want to believe, I know the truth.




KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 60m60 minutes ago

A donation that was from clean money upon which TRA taxes were paid (3/7)
0 replies11 retweets0 favorites Reply
Retweet11
Favorite
More



Hapa tatizo haliwi Escrow Bali ni Kupokea fedha nyingi kutoka kwa Mfanya biashara huku ukiwa Kiongozi wa umma mwenye MAAMUZI kuhusu Ardhi na majengo. Ada ktk shule tajwa nimeambiwa 4.5m , pale hawasomi maskini. Hapa lipo tatizo , wacha MAMA AWAJIBIKE....
 
Ndio mtindo wa siku hizi. Hizi shule zinazoitwa Academy inasemekana 'zinasaidia' watoto kupata elimu. Pamoja na ada zao kuwa kubwa, bado wanachangisha wazazi michango kujenga majengo zaidi eti ili waendelee 'kusaidia' watoto zaidi. Huu ni msaada au biashara?

Nadhani ni kwa sababu hii ndio maana hata attention ya serikali kwenye shule zake imekufa kabisa ili ku-'promote' hizi shule 'za hali ya juu'

serikali inapaswa kutunga sera kuthibiti hizi shule...utashangaa hata shule za dini ya Kardinali Pendo siku hizi, ada ya mwaka tena O-level inazidi ada ya PhD....na bado wanawahadaa watu hasa walio europe kuwa wanawasaidia 'the maginalised community'
 
nchi hii ina safari ndefu sana ya kujitambua,mama ana anajuta kuingia kuongoza wajinga
 
Mimi hiyo shule wanayosema ni msaada kwa wasichana mbona siielewi?

Kuna watoto wangapi pale ambao hana uhusiano nao kindugu wanaolipa japo 360,000 kwa mwaka( tukichukulia ndie mzazi ambae hana uwezo anamlipia 1,000 kwa siku)

Ni shule ya wasichana ipo maeneo ya kibamba kama sijakosea inaitwa Barbo Johanson. Ada siyo chini ya shilingi Milioni tatu kwa mwaka.
 
Ahaaaaaa! Umeona Best huyu ndiye wa kumpeleka mabwepande na kumfinya kende kidogo tu ili awataje wale waliopokea mpunga kupitia mifuko ya Rambo na magunia, si ajabu jina la Mkulu au mama wama ndiyo limo humu.

Heheheh

Hii kupata ushahidi ngumu...labda kama camera zilirekodi

Maana inawezekana mwenye akaunti (escrow) alienda kuwithdraw kisha akawakatia kila mmoja mpunga wake
 
Let's say that she trully wants 2 help Tanzanian women through education. What is the fee structure at Babro? Who really sends their girls at Babro? What did the school do with the money?

What is the fee structure at Babro? 4.5ml and above

Who really sends their girls at Babro? only the rich, rich politicians, heavy businessmen-wahindi, waarabu and the Lupia, Rugemalira and Co like...ukienda wanakuasses reception tu, maelezo utakayopewa kama una akili timamu utajua the school is not of your class.

But still they brag themselves kuwa ni kwa ajili ya 'maginalised indiduals'
 
Mxiiiiuuuu...eti 'your time will come' lini wakati keshakuwa mbibibi??? Af eti hela zilikuwa za kusaidia 'poor girls'....poor girls my @ss...poor girls unawajua wewe???
 
Bila ya shaka yumo humu na IDs lukuki ambazo alizitumia kutukana watu matusi ya nguoni wiki na miezi ya nyuma kuhusu sakata hili.

Anaingiza wabeba maboksi halafu anatumabia tunyamaze.

Nyambaf kabisa hako kabinti.

Mamake anastahili kwenda kunyea debe Butimba huko.
 
serikali inapaswa kutunga sera kuthibiti hizi shule...utashangaa hata shule za dini ya Kardinali Pendo siku hizi, ada ya mwaka tena O-level inazidi ada ya PhD....na bado wanawahadaa watu hasa walio europe kuwa wanawasaidia 'the maginalised community'

Ni ujinga wa hali ya juu. Sijui ni lini serikali itasimamia shule zake ili zirudi kuwa na heshima (angalau) kama zamani...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom