Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
Mkuu picha za binti wa mama fisadi Tibaijuka aliyeamua kuwatusi watu huku akimtetea mama yake kule wanako tweet.

mkuu umeamua kututisha ama?? picha gani hizi??
 
Kumbe RELATION ILIKUWA UNAIMANISHA DOMO MMMMH


ila karembo kweli asee. Kangeoana na diamond wangezaa dolphin..


B1HgTD7IEAA1aKQ.jpg:large

Acha kurusha matusi bhanaaa

images



dolphin.jpg
 
Goodlife kwa hela ya kodi zetu linapotelea gizani lazima aweweseke
 

Attachments

  • 1419275355646.jpg
    1419275355646.jpg
    75.4 KB · Views: 956
Si ndio maana unaona issue inazimwa kwa nguvu...


Ahaaaaaa! Umeona Best huyu ndiye wa kumpeleka mabwepande na kumfinya kende kidogo tu ili awataje wale waliopokea mpunga kupitia mifuko ya Rambo na magunia, si ajabu jina la Mkulu au mama wama ndiyo limo humu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huyo kichwa maji sijui alikua anamalengo ya kuja kurithi nyayo za mama yake serikalini
 
bidada hata wewe umo? msamehe bure....but ni kweli hata mama yake kwa sura yake, you would expect her to be humble not that arrogant

mafisadi wana roho mbaya wamepeleka hadi kwa watoto wao
 
Bint amekosea sanaaa! Tibaijuka Anna Kajumulo siasa si mahala pake! Ikumbukeni BAWATA iliyopigwa chini na BWM. Huyu ni reject ktk siasa na aliymleta upya ktk siasa za nchi alipotoka sana.

Pole Mama, niliandika hapa kuwa kabla ya kuongea yale Alhayat alipaswa kuingalia speech ya Mamlaka iliyompa uwaziri....alizungumzaje 2005 Desemba Bungeni akiwa Rais.
 
Mkuu picha za binti wa mama fisadi Tibaijuka aliyeamua kuwatusi watu huku akimtetea mama yake kule wanako tweet.

masikini ya Mungu hakajui nini kanafanya...kajiingiza kwenye sakata ambalo angekaa kimya wala asingehusishwa sasa hapa kanajionyesha kanavyotetea urithi!!! anarusha mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya vioo...
 
B1HgTD7IEAA1aKQ.jpg:large

Acha kurusha matusi bhanaaa

BAK;
Hawa hawatukani bali wana ha.risha mitusi hiyo. Ila kwa kweli, hilo domo, mhhhh. Akikubusu, si anaweza kuchanganyia masikio humo ndani. Utadhani la kiboko paints! Jamani, kuna watu walijaliwa midomo. Tonge mbili sahani ugali kwisha
 
Kwa jinsi mama fisadi Tibaijuka alivyoshupaa kwenye ile news conference hadi mishipa ya shingo kumsimama na kudai "sijiuzulu ng'oo" bila shaka hatakubali kuondoka kirahisirahisi labda Mkulu atamuahidi cheo kikubwa mahali ili aondoke kimya kimya vinginevyo itakuwa patashika nguo kuchanika pale Ikulu.

Si ndio maana unaona issue inazimwa kwa nguvu...
 
Mkuu,
Tatizo la akaunti za Stanbic bank,akaunt zote hazikuwa na majina ya waliotumiwa pesa.Nafikiri hicho ndicho kilichomlewesha mama tiba na kufikiri kuwa hata likibumburuka bac kitakuwa kifo cha wengi!Kumbe wenzie wamemzidi akili,yeye akaingia mzima mzima na jina lake akaliweka kwenye akaunti!

Kweli Wapo watu waliochukua hadi bilioni nane na zaidi na ndio maana alikuwa anajiamini na kuajiamini kwake kuna ashiriaa Mambo mengi kwa wale wanaojua kudadisi mambo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom