Mdude harudi tenaWatu vifu vimejaa chuki na hasira za visasi. Watawala bado mna muda wa kuepusha genocide kama za Rwanda!
Sikuona sababu ya kumuua/kumpoteza/kumficha and the like Mdude na wenzake wengi ambao hatujui kama bado wako hai!
Mdude amepelekwa walipo wale wengine waliopotezwaSafisheni nyumba yenu
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽Watu vifu vimejaa chuki na hasira za visasi. Watawala bado mna muda wa kuepusha genocide kama za Rwanda!
Sikuona sababu ya kumuua/kumpoteza/kumficha and the like Mdude na wenzake wengi ambao hatujui kama bado wako hai!
You are always writing silly things; I'm sorry. Tunaandika mambo ya msingi kwa ustawi wa wewe na mimi! na wajukuu wetu na ustawi wa taifa hiliSafisheni nyumba yenu
a very good observationMkutano wa ccm naona kuna viongozi wametoka nchi za nje kushiriki.
Sasa urafiki ni kwa ccm tu na washirika wake tu? Wanaharakati na Chadema hawana haki ya kuungwa mkono na washirika wao?
Sio rwanda tu hata uganda sema hawakulingana na ya rwandaWatu vifu vimejaa chuki na hasira za visasi. Watawala bado mna muda wa kuepusha genocide kama za Rwanda!
Sikuona sababu ya kumuua/kumpoteza/kumficha and the like Mdude na wenzake wengi ambao hatujui kama bado wako hai!
Wametaka kuiga yale ya Chadwma uchaguzi wa January 21Mkutano wa ccm naona kuna viongozi wametoka nchi za nje kushiriki.
Sasa urafiki ni kwa ccm tu na washirika wake tu? Wanaharakati na Chadema hawana haki ya kuungwa mkono na washirika wao?
Wewe acha kuota. Unajua maana ya genocide? Unajua vinavyosababisha genocide? Nakupa mifano;Watu vifu vimejaa chuki na hasira za visasi. Watawala bado mna muda wa kuepusha genocide kama za Rwanda!
Sikuona sababu ya kumuua/kumpoteza/kumficha and the like Mdude na wenzake wengi ambao hatujui kama bado wako hai!
CCM kuua ni jadi yaoWatu vifu vimejaa chuki na hasira za visasi. Watawala bado mna muda wa kuepusha genocide kama za Rwanda!
Sikuona sababu ya kumuua/kumpoteza/kumficha and the like Mdude na wenzake wengi ambao hatujui kama bado wako hai!
Ukimsikiliza kwa makini John Mrema utanielewa 😁You are always writing silly things; I'm sorry. Tunaandika mambo ya msingi kwa ustawi wa wewe na mimi! na wajukuu wetu na ustawi wa taifa hili
It is not a matter of chama kwa chama, ni matter ya WANAOONEWA NA KUNDI MOJA LA WATU KWA KUTUMIA MADARAKA VS KUNDI JINGINE LA WATU LISILOKUWA NA MADARAKA!Rwanda ni makabila mawili, ila kwetu ni chama kwa chama
who is john mrema? mchumia tumbo!Ukimsikiliza kwa makini John Mrema utanielewa 😁
Nyumba yetu haina usafi wowote unaohitajika.....vipi kuhusu utekaji, uaji, ulaghai wenu...mtajisafisha na nini?Safisheni nyumba yenu
Hayawezi tokea ya Rwanda hapa Tanzania because ya Rwanda ni ukabila ulihusika zaidi kuliko hali za kisiasa kwa wakati ule...hapa namaanisha hali za kisiasa zanazohusu maendeleo ya nchi pamoja utawala Bora.Watu vifu vimejaa chuki na hasira za visasi. Watawala bado mna muda wa kuepusha genocide kama za Rwanda!
Sikuona sababu ya kumuua/kumpoteza/kumficha and the like Mdude na wenzake wengi ambao hatujui kama bado wako hai!