CHIKITITA
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 445
- 158
Naungana na wewe kabisa hivi vi fm6 haviwezi kulitambua hilo sababu havijui hata nini kinafundishwa diploma vimekalia ushabiki kwa kushabikia bi degree vyao hewa visivyo kuwa hata na ubora,, mwl wa degree aliye pitia diploma ni mzuri zaid lakini kwa huyu wa fm 6 + degree ni matatizo matupu hata hapa shuleni kwangu nimeajiri hao walimu wenye sifa zote wenye dip na wenye degree kutoka fm6 na mwenye degree kutoka diploma ,,wanatofauti kubwa sana hawa walimu wangu wengi ambao ni fm 6 to degree ndio wanao lalamikiwa sana na watoto hapa shulen hawana weledi,kufundisha hawajui hata ukiwapa utawala wanakiuka kanuni,nimebadilisha utaratibu na nawapunguza taratibu hawa fm6 to degree.
usihangaike na watu wanaodhani degree ni kila kitu, hata sisi tumeanza dip na tukaenda degree tumeona mengi yanayotendeka hapo, wapo wenye bidii binafsi na huja kuwa watendaji wazuri lakini wengine utajuta ukifanyanaye kazi, anabaki na wimbo tu 'mimi nina degree mimi' ila utendaji oooooooooovyooooo, haiba ndio hata sisemi