Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

kumbuka unalinganisha ngazi mbili na uellewa tofauti ,kwanini usinishawishi kuwa Grade A wapo vizuri zaidi ya Dip au kwasababu DIP n DEG wanafundisha shule moja .Unachoongea ni probability ya kumpata graduate asiyejitambua ukamlinganisha na Dip anayejitambua,hata mie nina nifano hai kuna mwalimu wa Dip anafundisha phy uwezo wake ni kufundisha Form 1 na 2 ,kidato c ha tatu na nne hata kwa mtutu wa AK 47 haingii na hajawahi kuingia na wanafunzi hawajawahi kusoma na mwalimu tna kutoka Monduli yupo
  • Chukua mfano huu rahisi. Una vijana wawili waliomaliza kidato cha sita kwa ufaulu ulio sawa. Na uwezo kimasomo.
  • Mmoja mpeleke Diploma In education kwa miaka miwili (2)nna
  • Mwingine mpeleke ngazi ya Degree miaka mitatu (3)
  • Baada ya kumaliza masomo wote wapewe wafundishe mfano kidato cha nne.

  • Je ni yupi atakuwa mwalimu bora zaidi ya mwingine?
  • Na ni kwa nini?

  • Unapojibu zingatia mantiki ya Mwalimu na Ualimu - Na mafunzo yatolewayo ngazi ya Diploma na Degree.
Mimi binafsi nilianza na stashahada nikafanya kazi miaka mitatu , ndipo nikajiunga na mafunzo ya shahada, Ukizingatia Mantiki ya mwalimu na ualimu, Ngazi ya Diploma huandaliwa vyema zaidi ili kukabiliana na majukumu yao ya kila siku ukilinganisha na ngazi ya Degree. Ngazi ya degree huwa ni mchaka mchaka wa kumaliza course / course work.
 
Mleta mada anaonyesha kabisa anajibu ndio maana anaanza na "tuwe wa kweli" Kwangu mimi hivi ni vitu wili tofauti kabisa Diploma na Degree. Mimi nilisoma diploma kisha degree ya kwanza na ya pili tayari; sasa natafuta ya tatu PhD; Japo sikusomea ualimu ila nahisi mambo mengi yanashabihiana. Unaposoma diploma unaandaliwa kwenda kufanya kazi husika "unakua skills oriented" Ndio maana kule hamna longolongo za managerial issues, entrepreneurial courses. Ila kwnye degree mwanfunzi anandaliwa kuutawala ulimwengu kwa mapana yake ndio maana kuna masomo ya siasa "Development Studies" hata kama huchukui political science. Communication skills,Business and entrepreneurial courses etc. Hivyo unapowaleta wanafunzi wawili mmoja ana degree na mwingine diploma katika kazi, lazima uone tofauti. Mwanzo mwenye diploma ataonekana "jembe" kwani alisomea hiyo kazi tangia mwanzo wa masomo yake ila as time goes huyu wa degree anaanza kumpita wa diploma kwani anaanza kupata uzoefu na anaanza kuweza kutawala mazingira ya kazi katika nyanja mbalimbali kwanza huyu ni mbunifu, visionary, kujiamini, etc (kwani yote haya alishayapata chuoni katika course mbalimbali). Ukitaka kuamini hilo hudhuria mhadhara unaoandaliwa na wawili hawa utaona tofauti zao ktk kujieleza. Degree inamfanya mwanafunzi awe flexible anaweza ku fit katk kazi mbalimbali, kwakukuhakikishia hilo angalia mabank mengi yanaajiri graduates wa aina tofauti tofauti hata auditing firm kama water-house coopers wanaajiri any graduate ila wanafunza kazi zao na baada ya muda wanakuwa experts kaitka filed zao. Wenye diploma ni wazuri sana katika kile walichosoma tu na ulimwengu wa sassa unahitaji mtu uwe na uelewa mpna ili uweze kuyatawala mzairingira ya kazi, kifamilia, kisiasa n.k. Yangu nihayo kwa leo
Umeeleza vizuri sana maana wakati napitia uzi kila mstari una uzito wake.
 
Ukweli ni kwamba Degree wanazidiwa hata na Ualimu daraja la III ktk kuwapanga kuvagaa kizazi. Hivyo tu wala hata usitishiwe na Kiingereza anachoongea........... Ukweli ndo huo.
 
Mkuu kweli nina diploma na kutokana na nilivyoona uwezo wa wale degree holder nimeona sina haja ya kuchukua degree maana hakuna walichonizidi ! pia kuhusu sifa kuanzia za form 6 hadi matokeo yangu ya dip yananiruhusu kuchukua degree...sasa nifuate nini huko? kuongeza mshahara au? maana maujuzi...hahaha!

Wengi wanaoenda kusoma degree wanataka Ongezeko la mshahara turn na si chochote.
 
kuelekea ajira mpya za walimu hebu tuwe wakweli wanaJF ni mwalimu yupi anaandaliwa vizuri kiuwezo na kimaadili pamoja na mbinu za kufundisha kati ya diploma na degree? ikumbukwe kuwa mwalimu wa diploma hufanya mtihani wa mwisho chini ya necta na akifeli somo moja (SUP) Haajiriwi wakati yule wa chuo kikuu husoma kwa semister..nina mifano ya watu kadhaa ambao walifeli diploma wakaamua kwenda chuo kikuu leo hii wana degree! pia hata shule nyingi za binafsi hawapendi wenye degree unless huyo mtu kapitia diploma kwanza! sitasema mengi najua kuna watu watanielewa tofauti....hata hivyo sina nia mbaya karibuni tujadili

maadili???? ubora??? hao wa diploma wanafundishwa na watu wa level gani??? umelifikilia hilo??
 
utakuwa na diploma wewe sio bure

Huna ulijualo wewe kaa kimya na ulimbuken wako .kwa taarifa nlimaliza diploma 1989 hadi kufikia sasa nataraji kurudi tanzania nikiwa na nimesha maliza Phd huku niliko ,ninacho kwambia sijakitoa kwenye riwaya za shigongo nlisha sema ,,nina experience ya kutosha kuhusu hao walimu sababu nimeajili hao walimu tajwa katika shule yangu,usiwe mkurupukaji wewe kijana think big.!
 
#kirobotokiroboto wengi wenu mnawapenda diploma kwa7bu ni cheap labour pia hawana CRITICS kabisa wengi wao ni ndio mzee nina experience ktk hilo kwan nimeshafundisha private school about a year.
 
Yote tisa kumi wengi wetu tunasoma sana ili tu kuongeza unga lakini ukweli unabakia pale pale, Mabilionea wengi duniani hivi sana hawana hata hivyo mnavyojisifia humu ndani na bado wanawaajiri wasomi na kuwatumikisha kadri wapendavyo.
 
Umejitahidi kuleta source ila bado haujaondoa hoja ya msingi, kama uta-base kwa Henri Fayol pekee na hizo kanuni za Manejimenti na bila kuelezea tofauti ya Menejimenti na Utawala, basi utakuwa unapotosha, pia nakushauri ungalie na Levels of Management ndio utajua nani anastahili kuwa juu (kwa maana ya mtawala na meneja). Pia utofautishe kwamba jukumu la utawala anaweza fanya mtu yoyote hata kama hana elimu ama ana elimu ya chini "According to H. Fayor.
ADMINISTRATION- This is the process of acquiring and allocating resources for the achievement of organizational goals" ila mwenye nafasi hii ana mamlaka makubwa katika maamuzi ya taasisi - yeye ndiye anatafuta resources na anazi - allocate, while manager is a person with more skills and sometimes a specialised one, a line manager - mtendaji zaidi, hana maamuzi ya sera, yeye anasimamia tu,watu hawa ni kama wakuu wa idara, walimu wa darasa, etc
Nashukuru kwa maelezo yako, ni mazuri kiasi tatizo hizo definition are not from a credited scholar (No source-who said that)
According to F. Taylor.
MANAGEMENT- This is the process of designing, developing and affecting the organisational objectives and resources so as to achieve the predetermined organizational goals.

According to H. Fayor.
ADMINISTRATION- This is the process of acquiring and allocating resources for the achievement of organizational goals.
Conclusion
Management thherefore determines both the means and the ends in an organization while Administration is an excutive function therefore it is a means to an end.

Nadhani mfumo huu wa definition ndio ambao unakubalika, Degree holder is a manager and Diploma and certificate are administrators.
 
Dgree mnajitahidi kuvutia kwenu,,lakini ukweli upo pale pale mwl wa degree ni too low kwa diploma ,,kuanzia kiutendaji,ufanisi wa ufundishaji na kila kitu,, nafikiri nlicho kiona hapa nikwamba watu waitukuza degree kimatamshi wakati ni vilaza wa kutupa?nenda na hiyo degree yako kafanye mtihani wa diploma uone kama hujatoka na sup zote! Ila kwa alie pitia dip then akaenda degree huyo kweli respect kwake .lakini sio hawa vikojozi wa fm 6 wanao vulia chupi ma prof ili wapate GPA ,,ni sufuri, tupu! Hata utendaji wao ni bure kanibisa, na wengine wajaribu kujenga hoja eti kuajiri mwl wa degree gharama ,,ghara gani unayo ongelea hapa?? Kwa wale wanao own shule wanajua utofauti uliopo kati ya degree na diploma kiutendaji sio kutukuza sifa tu kuwa na degree halafu kichwani huna kitu.

sidhani km upo sahihi. km ulipata E mbili ukaenda kuchukua diploma sasa uwo uzuri wako upo wapi? au kwenye kuandaa scheme of work?
 
HATA diploma wanasoma hizo course nyingine kama
comm' skill, dev' studies psychology n.k so what?

Sisi wenye diploma tuko juu kwa kila kitu! Hivi ukitoka diploma unachukua certificate au masters?
 
Umejitahidi kuleta source ila bado haujaondoa hoja ya msingi, kama uta-base kwa Henri Fayol pekee na hizo kanuni za Manejimenti na bila kuelezea tofauti ya Menejimenti na Utawala, basi utakuwa unapotosha, pia nakushauri ungalie na Levels of Management ndio utajua nani anastahili kuwa juu (kwa maana ya mtawala na meneja). Pia utofautishe kwamba jukumu la utawala anaweza fanya mtu yoyote hata kama hana elimu ama ana elimu ya chini "According to H. Fayor.
ADMINISTRATION- This is the process of acquiring and allocating resources for the achievement of organizational goals" ila mwenye nafasi hii ana mamlaka makubwa katika maamuzi ya taasisi - yeye ndiye anatafuta resources na anazi - allocate, while manager is a person with more skills and sometimes a specialised one, a line manager - mtendaji zaidi, hana maamuzi ya sera, yeye anasimamia tu,watu hawa ni kama wakuu wa idara, walimu wa darasa, etc

Ukitumia source moja inaleta shida kidogo, kwa sababu haya maneno mawili watu wanayatumia kama neno moja na ndicho alicho kifanya Fayor, he defined administration to mean management.
Management determines bothe means and ends of the organization while administration determines the ends of organization
Google, scientific management utaelewa na utajua kazi za management aisee.
 
sidhani km upo sahihi. km ulipata E mbili ukaenda kuchukua diploma sasa uwo uzuri wako upo wapi? au kwenye kuandaa scheme of work?

hv unajuwa huwa ni kwa nini Mwl. aliyeanzia ngazi ya cheti na kujiendeleza huwa anakuwa na probability kubwa ya kupata opportunities zaidi ya wewe uliyetokea kidato cha 6 na kuwahi degree !?, kama hulijui hilo huwa linatokana na nini anza kufahamu kuwa sifa huwa zinajijenga kutokana na mazingiza ndipo ukomavu huja na pia tambua kuwa utaalamu na uzoefu ni zaidi ya taaluma. .. sina hakika kama ulimuelewa kirobotokiroboto !
 
By Philipo: Ebu Wana Jf Tufikilie Kikina Zaidi Si Tunachangia Hoja Kwa Kuwa Mmeiona Bila Kutafakali Kumbukeni Kwenye Msafala Wa Mamba Kenge Hawakosi Popote,narudi Kwenye Mada Degree Ni Elimu Ya Juu Ina Mashiko Kidunia Course Zinazofundishwa Ni Namna Ya Kutawala Dunia,naona Wengi Tunazungumzia Kuhusu Uchapakazi,uwajibikaji,nidhamu Nk. Kumbuka Kama Ujajifunza Uwajibikaji,nidhamu Na Kuchapa Kazi Kutoka Kwa Wazazi Na Mashuleni Kutoka Vidudu Mpaka Umemaliza 4m Six Ujue Diploma Na Degree Havichangii Ubora Wako Ila Ni Jitihada Za Mtu Mwenyewe.Diploma Kikubwa Wanafundisha Namna Ya Kufanya Kazi(to Be Cheap Labour) Kila Kitu Ni Ndio Pasipo Kuhoji Sasa Kule Kupelekeshwa Bila Kujitambua Wao Wanaona Wanachapa Kazi Weka Kichwani Kwamba Kuwajibika Au Kutowajibika Ni Uamuzi Wa Mtu Kwa Kusema Hivyo Diploma Anafanana Na Yule Wa Degree Asiyejitambua Lakini Mwenye Degree Yake Na Anajitambua, Diploma Hana Lolote Acha Kupelekeshwa Jitambuwe.Degree Mpango Mzima Wanaopinga Hawajielewi Utamzidi Vipi Babako Kwa Knowledge.
 
wewe utakuwa na matatizo kwa kichwa, diploma wanaenda ambao hawajaqualify university au wenye ufaulu mdogo sasa wapo Vizuri kichwani kivipi?
Umeambiwa kupata div 1 ndo kipimo cha kuwa na akili?mxuuuuuuuu
 
Umeambiwa kupata div 1 ndo kipimo cha kuwa na akili?mxuuuuuuuu

Haha hahaaa cheki huyu!!! kwan mfumo we2 wa elimu unapimaje wenye akili? bas alyepata div5 ndiye mwenye akili? unakoment nzur MMU huku unachemka men!
 
Back
Top Bottom