Vyuo vikuu hawafundishwi sijui mambo ya zana kwa vitendo. Vyuoni wanakula mapindi tu
Ama kweli ukistaajabu ya degree utayaona ya diploma! Chuo kikuu gani hakifundishi kutumia nyenzo? Kuna kozi inaitwa subject teaching methods, kuna educational media and technology sasa wewe unajua zina elekezwaje kwa wanafunzi? Usiseme kitu ambacho huja jionea! Fika, soma, fanya practice