Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

kuelekea ajira mpya za walimu hebu tuwe wakweli wanaJF ni mwalimu yupi anaandaliwa vizuri kiuwezo na kimaadili pamoja na mbinu za kufundisha kati ya diploma na degree? ikumbukwe kuwa mwalimu wa diploma hufanya mtihani wa mwisho chini ya necta na akifeli somo moja (SUP) Haajiriwi wakati yule wa chuo kikuu husoma kwa semister..nina mifano ya watu kadhaa ambao walifeli diploma wakaamua kwenda chuo kikuu leo hii wana degree! pia hata shule nyingi za binafsi hawapendi wenye degree unless huyo mtu kapitia diploma kwanza! sitasema mengi najua kuna watu watanielewa tofauti....hata hivyo sina nia mbaya karibuni tujadili
.Unajua hao walimu wa diploma wanafundishwa na sisi walimu/wakufunzi wenya degree na hatujasoma hizo diploma, sasa sikuelewi sisi walimu wabovu tunaandaa vipi hao walimu wazuri wa diploma?tuwafunze maadili hali sisi hatuna?shule za binafsi hawapendi wenye degree ni kwa shule za kichovu, shule za private nyingi nzuri zinachukua walimu wenye degree,jaribu kuchunguza zaidi. Mwalimu kuwa mzuri ni Individual zaidi haitegemei degree au diploma.
 
nakubaliana na wewe kuwa haya maneno watu wanayatumia kama neno moja, yes! ila nakushauri usi-base kwa Henri Fayol peke yake, yeye aliangalia zaidi kanuni 14 za menejimenti na hakuongelea sana Utawala, japo nakushauri upitie na wanazuoni wengine wa Scientific Management i.e.Frederick W. Taylor,Frank and Lillian Gilbreth,Chester Barnard, Elton Mayo, etc usikie wanasemaje.

Ila tukirudi kwenye hoja Meneja/msimamizi yoyote anatakiwa kufuata kanuni za hao akina Fayol na wengine (niliokushauri uwapitie). Kwa maana ingine hao mameneja ambao ndio watekelezaji wa hizo Goals za taasisi, kampuni ama shule (wengi wao wanakuwa Line managers), wanatakiwa kuwa na skills za management na kuelewa hizo kanuni za hao wanazuoni wa Scientific Management, ili hali kwa definition ya Fayol kama ulivyoelezea "Management determines bothe means and ends of the organization while administration determines the ends of organization", ndio management determines means and end of organisation: kwa sababu walimu wa diploma ambao naamini wengi wao hawapo katika kiwango cha kutunga sera, utafutaji wa raslmali, ila wao ni watekelezaji wa sera, na watumiaji wa rasilimali kwa ajili ya kuhakikisha lengo ambalo lilipangwa na watunga sera "administrators" linafikiwa.
Administrators determine the end " kwa maana wao ndio watunga sera, wenye mtaji, wenye mipango yote ya taasisi, hivyo wasipojishughulisha na kufanikisha kuwepo kwa sera nzuri,mtaji/rasilimali,malengo n.k basi ujue "end ya hio taasisi itakuwa hatarini".
Hivyo namalizia kusema kuwa administration hufanywa na mtu wa juu kabisa kwenye taasisi husika wakati management hufanywa na mtu aliye chini ya administration, kwa maana hiyo naweza kusema kabisa kwa system yetu ilivyo ni walimu wachache sana wenye Diploma wanafanya administration isipokuwa wanafanya management wakati na administration inafanywa na walimu wengi sana wenye elimu ya kuanzia degree ama zaidi. Kwa hio sikubaliani kwamba walimu wa diploma wapo kwa ajili ya administration na wenye degree na zaidi wao wanafanya management, ila nakubaliana na wewe kuwa haya maneno huwa yanachanganywa, japo ki ukweli kabisa huwa ni vigumu wakati mwingine mtu kufanya management na wakati huo kufanya administration na hata kinyume chake, japo ni vitu viwili tofauti
Ukitumia source moja inaleta shida kidogo, kwa sababu haya maneno mawili watu wanayatumia kama neno moja na ndicho alicho kifanya Fayor, he defined administration to mean management.
Management determines bothe means and ends of the organization while administration determines the ends of organization
Google, scientific management utaelewa na utajua kazi za management aisee.
 
But teachers with diploma have more practical training than those with degree
Degree means u think world wide(university) ingekuwa diploma ndo kila k2 mcngekuwa mnaenda kuongeza elim et KUJIENDELEZA
 
nakubaliana na wewe kuwa haya maneno watu wanayatumia kama neno moja, yes! ila nakushauri usi-base kwa Henri Fayol peke yake, yeye aliangalia zaidi kanuni 14 za menejimenti na hakuongelea sana Utawala, japo nakushauri upitie na wanazuoni wengine wa Scientific Management i.e.Frederick W. Taylor,Frank and Lillian Gilbreth,Chester Barnard, Elton Mayo, etc usikie wanasemaje.

Ila tukirudi kwenye hoja Meneja/msimamizi yoyote anatakiwa kufuata kanuni za hao akina Fayol na wengine (niliokushauri uwapitie). Kwa maana ingine hao mameneja ambao ndio watekelezaji wa hizo Goals za taasisi, kampuni ama shule (wengi wao wanakuwa Line managers), wanatakiwa kuwa na skills za management na kuelewa hizo kanuni za hao wanazuoni wa Scientific Management, ili hali kwa definition ya Fayol kama ulivyoelezea "Management determines bothe means and ends of the organization while administration determines the ends of organization", ndio management determines means and end of organisation: kwa sababu walimu wa diploma ambao naamini wengi wao hawapo katika kiwango cha kutunga sera, utafutaji wa raslmali, ila wao ni watekelezaji wa sera, na watumiaji wa rasilimali kwa ajili ya kuhakikisha lengo ambalo lilipangwa na watunga sera "administrators" linafikiwa.
Administrators determine the end " kwa maana wao ndio watunga sera, wenye mtaji, wenye mipango yote ya taasisi, hivyo wasipojishughulisha na kufanikisha kuwepo kwa sera nzuri,mtaji/rasilimali,malengo n.k basi ujue "end ya hio taasisi itakuwa hatarini".
Hivyo namalizia kusema kuwa administration hufanywa na mtu wa juu kabisa kwenye taasisi husika wakati management hufanywa na mtu aliye chini ya administration, kwa maana hiyo naweza kusema kabisa kwa system yetu ilivyo ni walimu wachache sana wenye Diploma wanafanya administration isipokuwa wanafanya management wakati na administration inafanywa na walimu wengi sana wenye elimu ya kuanzia degree ama zaidi. Kwa hio sikubaliani kwamba walimu wa diploma wapo kwa ajili ya administration na wenye degree na zaidi wao wanafanya management, ila nakubaliana na wewe kuwa haya maneno huwa yanachanganywa, japo ki ukweli kabisa huwa ni vigumu wakati mwingine mtu kufanya management na wakati huo kufanya administration na hata kinyume chake, japo ni vitu viwili tofauti

Inakuaje anae determine means and ends of organization (management) akawa chini ya anae determine ends of organization (administration) peke yake?
I think either of us is mixing things.
 
Nashukuru japo tunaanza kwenda sawa ila zaidi jaribu kupitia hizi source kwa maana ya kuelewa zaidi
Levels of Management - Top, Middle and Lower Level

Managerial Skills - Conceptual, Human Relations and Technical

https://www.boundless.com/business/...gement/management-levels-a-hierarchical-view/

Inakuaje anae determine means and ends of organization (management) akawa chini ya anae determine ends of organization (administration) peke yake?
I think either of us is mixing things.
 
hicho mnachojadili ni upuuz mtupu kwa hao wanajifanya walioenda diploma wamekosa sifa za kuingia degree? mimi nilipata two nikaenda diploma na masela kibao wameenda university wana dvn three tena ya 14 hapo nani yupo juu?kuna watu hawaendi university kama sifa ila tatizo ni pesa na maisha ambayo wataenda kuishi chuo yatakuwaje na huna msaada wowote wa kifedha?halafu kuweni na akili wote mlienda chuo mumefundishwa na mwalim wa upe kusoma na kuandika na kujua kusoma leo unajifanya mjanja! mbona kuna watu hao wa diploma na certificate wana magari we wa digree yanakushinda hata baiskel?
 
degree ni zaid ya diploma xo kama we upo diploma ukitaka kujiendeleza utaenda kuchukua degree then unachapa laba!
 
wa diploma ni mzuri zaidi kuliko wa degree hilo nina ushahidi nalo mwaka jana walikuja walimu wa btp kutoka sekomu walikuwa mwaka wa 3, MUNGU wangu kuandaa hawajui kabsa walipokuja wakaguz wao ilibid tuwasaidie kuandaa vipindi na kuwaelekeza jinsi ya kutumia zana, walipokaguliwa walipewa big up.

Uharo mtupu!! Hebu nenda kasome wewe, yani umeridhika na hako kadiploma!!
 
kuelekea ajira mpya za walimu hebu tuwe wakweli wanaJF ni mwalimu yupi anaandaliwa vizuri kiuwezo na kimaadili pamoja na mbinu za kufundisha kati ya diploma na degree? ikumbukwe kuwa mwalimu wa diploma hufanya mtihani wa mwisho chini ya necta na akifeli somo moja (SUP) Haajiriwi wakati yule wa chuo kikuu husoma kwa semister..nina mifano ya watu kadhaa ambao walifeli diploma wakaamua kwenda chuo kikuu leo hii wana degree! pia hata shule nyingi za binafsi hawapendi wenye degree unless huyo mtu kapitia diploma kwanza! sitasema mengi najua kuna watu watanielewa tofauti....hata hivyo sina nia mbaya karibuni tujadili

Diploma ndo anaandaliwa vizur hat km mwenye degree n wa kimataifa zaid...
 
hicho mnachojadili ni upuuz mtupu kwa hao wanajifanya walioenda diploma wamekosa sifa za kuingia degree? mimi nilipata two nikaenda diploma na masela kibao wameenda university wana dvn three tena ya 14 hapo nani yupo juu?kuna watu hawaendi university kama sifa ila tatizo ni pesa na maisha ambayo wataenda kuishi chuo yatakuwaje na huna msaada wowote wa kifedha?halafu kuweni na akili wote mlienda chuo mumefundishwa na mwalim wa upe kusoma na kuandika na kujua kusoma leo unajifanya mjanja! mbona kuna watu hao wa diploma na certificate wana magari we wa digree yanakushinda hata baiskel?

Ukitaka kwenda kujiendeleza kielimu utafanya masters au degree ya kwanza? Maana unadhani diploma uko juu kuliko au sawa na degree kachukue masters sasa na hiyo diploma yako. Umefundishwa na nani? Huo mtihani wako wa necta diploma ulisahihishwa na walimu wapi? Acha dharau kijana degree ni international figure na diploma ni local/small scale person. Soma, elewa, tambua elimika.
 
Mwl aliyekufundisha utamzidije tena? uzur wa diploma upo wapi wa kumzidi mwl wake? ukisikia jamii inasema ualimu ni taaluma ya waliofeli inawazungumzia walimu wa diploma na certificate huko ndiko wanakoenda failures NUKTA

Umeongea ukweli mkuu' certificate na diploma ni failure'
 
Unachanganya mambo ili ujitetee,hapo mambo ya magar yameingiaje? Kwel wewe ni diploma.
hicho mnachojadili ni upuuz mtupu kwa hao wanajifanya walioenda diploma wamekosa sifa za kuingia degree? mimi nilipata two nikaenda diploma na masela kibao wameenda university wana dvn three tena ya 14 hapo nani yupo juu?kuna watu hawaendi university kama sifa ila tatizo ni pesa na maisha ambayo wataenda kuishi chuo yatakuwaje na huna msaada wowote wa kifedha?halafu kuweni na akili wote mlienda chuo mumefundishwa na mwalim wa upe kusoma na kuandika na kujua kusoma leo unajifanya mjanja! mbona kuna watu hao wa diploma na certificate wana magari we wa digree yanakushinda hata baiskel?
 
Mosi, Naomba tuwalinganishe katika uwajibikaji.

Pili, nawafahamu watu wengi walioacha kusoma digrii kwa sababu ya matatizo ya kifamilia mfano binti mmoja alifiwa na wazazi wake akabaki na wadogo zake pekee akakatisha masomo ya chuo kikuu akajiunga na diploma wakati huo unasoma mwaka mmoja na mmoja unajifunza kwa vitendo na huku unalipwa ili awasaidie wadogo zake .

Tatu, wengine wanapanga wasome baadae digrii huku wana mshahara.

Nne, mmejiuliza kama wamefeli wanapata wapi sifa za kujiendeleza zaidi?

Tano,wasomi wa Tanzania wanavyozidi kusoma wanazidi kuwa wajinga badala ya kuelimika

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi nadhani mitaala inatofautiana kwa vyuo hivi viwili. So wa diploma anafundishwa na wa degree is ok, lakini mfundishaji anamfundisha huyu kwa kutumia mtaala gani ndio issue maana ndio kitu pekee kitakacho bainisha mambo ya kujifunza. Kwa hiyo mwalimu mwenye degree akifundisha pamoja na mwalimu mwenye diploma tofauti ipo tu na inategemea unawapima vitu gani, maadili ya kazi au uwezo wa kufundisha.
Nawasilisha.
 
Yaani hapo mwishoni ndio umethibitisha ujinga wako Mr,kwaiyo shule ya msingi wote wana akil kuliko wewe?KAZI UNAYO MHESHIMIWA,KAMA DIP NDO MPO HIVO NAMSHUKURU MUNGU KIKOMBE KILINIEPUKA.
Mosi, Naomba tuwalinganishe katika uwajibikaji.

Pili, nawafahamu watu wengi walioacha kusoma digrii kwa sababu ya matatizo ya kifamilia mfano binti mmoja alifiwa na wazazi wake akabaki na wadogo zake pekee akakatisha masomo ya chuo kikuu akajiunga na diploma wakati huo unasoma mwaka mmoja na mmoja unajifunza kwa vitendo na huku unalipwa ili awasaidie wadogo zake .

Tatu, wengine wanapanga wasome baadae digrii huku wana mshahara.

Nne, mmejiuliza kama wamefeli wanapata wapi sifa za kujiendeleza zaidi?

Tano,wasomi wa Tanzania wanavyozidi kusoma wanazidi kuwa wajinga badala ya kuelimika

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaani hapo mwishoni ndio umethibitisha ujinga wako Mr,kwaiyo shule ya msingi wote wana akil kuliko wewe?KAZI UNAYO MHESHIMIWA,KAMA DIP NDO MPO HIVO NAMSHUKURU MUNGU KIKOMBE KILINIEPUKA.

Nilitoa hiyo hoja kwa maana elimu ya Tanzania haichochei ubunifu na haitoi mwanya kwa ufikiri yakinifu.

Wewe na Watanzania wengi mnafikiri vyeti ni kila kitu na najua Human resource approach in planning inaongelea watu kama rasilimali nzuri kama wana ujuzi, weledi, uwezo na maarifa ambayo kwangu yanaweza patikana kwa kutumia mfumo rasmi au usio rasmi.

Msomi wa Tanzania akimaliza kusoma hajui hata daftari au kitabu cha alichosomea kiko wapi anafanya kazi kwa mazoea na kutamba ni msomi bila kichukua hatua za maana kujikomboa kiuchumi na kitamaduni.

Walimu wanaoongoza kwa uhuni na kichwani hamna kitu ni wenye digrii wanavaa milegezo, matumizi ya pombe kupita kiasi na dharau kibao kwenye uwajibikaji hamna kitu

Nakuomba utafute mwalimu yoyote aliyesoma chuo cha ualimu Monduli mwangalie halafu jaribu kumfananisha na mwalimu wa digrii wa chuo kikuu chochote Tanzania

Leo waliohitimu diploma na digrii wakipewa mtihani alioufanya akapata digrii au diploma nina hakika wengi hawatafaulu hivyo kuna haja ya kuwa na mitihani ya mara kwa mara ya fani mbalimbali ili tusibakie na sifa za vyeti wakati kichwani hamna kitu



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwa kukusaidia katizame walio soma dip uone kama wote ni failure ,,nijuavyo mimi pamoja na kuwa na maksi za chini lakini sababu nyingine kubwa ziidi ya watu kukimbilia dip ni uchumi, kuendesha maisha chuo kikuu kama uchumi wako hauruhusu na umekosa mkopo ni kazi sana,lakini pia kama umesoma na unaelewa maana ya failure ninini, basi nadhani utakuwa umejua kuwa failure hawawez kuendelea na msomoyeyote yale.,,lakini pia honera sana wewe usiye kuwa failure na ukapata nafasi ya kusoma degree na leo unawaita wengine walio chin ya elimu yako kwa majina ya kejeli ,,kweli wewe ni msomi hasa..

Kuwa na maksi za chin ndio failure yenyewe mkuu' certificate na diploma ndio mnafanya ualimu uonekani ni wa failure'
 
Vyuo vikuu hawafundishwi sijui mambo ya zana kwa vitendo. Vyuoni wanakula mapindi tu
 
Back
Top Bottom