Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

Mimi Nina Diploma na Degree.Teaching method Coverage iko poa.Behavior yao na nidhamu ni Safi.Degree unasoma Content nyingi sana.Degree ni degree tu.Mbuzi ni mbuzi na N'gombe atabaki kua N'gombe
 
Ok.. ndio wameachwa mbali lakini twende ktk uwezo wao! pia kumbuka diploma na degree wote wameishia form six!! na ujue siku hizi dip na degree wote wanakuja kwenye shule za olevel ni baadhi wanaoenda a level...jiulize why..
Unajua kwamba Kuna diploma ambao wameishia form four?
 
Dgree mnajitahidi kuvutia kwenu,,lakini ukweli upo pale pale mwl wa degree ni too low kwa diploma ,,kuanzia kiutendaji,ufanisi wa ufundishaji na kila kitu,, nafikiri nlicho kiona hapa nikwamba watu waitukuza degree kimatamshi wakati ni vilaza wa kutupa?nenda na hiyo degree yako kafanye mtihani wa diploma uone kama hujatoka na sup zote! Ila kwa alie pitia dip then akaenda degree huyo kweli respect kwake .lakini sio hawa vikojozi wa fm 6 wanao vulia chupi ma prof ili wapate GPA ,,ni sufuri, tupu! Hata utendaji wao ni bure kanibisa, na wengine wajaribu kujenga hoja eti kuajiri mwl wa degree gharama ,,ghara gani unayo ongelea hapa?? Kwa wale wanao own shule wanajua utofauti uliopo kati ya degree na diploma kiutendaji sio kutukuza sifa tu kuwa na degree halafu kichwani huna kitu.
Utakuwa umesoma diploma?
 
kuelekea ajira mpya za walimu hebu tuwe wakweli wanaJF ni mwalimu yupi anaandaliwa vizuri kiuwezo na kimaadili pamoja na mbinu za kufundisha kati ya diploma na degree? ikumbukwe kuwa mwalimu wa diploma hufanya mtihani wa mwisho chini ya necta na akifeli somo moja (SUP) Haajiriwi wakati yule wa chuo kikuu husoma kwa semister..nina mifano ya watu kadhaa ambao walifeli diploma wakaamua kwenda chuo kikuu leo hii wana degree! pia hata shule nyingi za binafsi hawapendi wenye degree unless huyo mtu kapitia diploma kwanza! sitasema mengi najua kuna watu watanielewa tofauti....hata hivyo sina nia mbaya karibuni tujadili
Diploma!
 
Kimaadili wapo vizuri pia katika kuandaa(lesson plan lesson notes scheme work) ila kwenye uwasilishaji darasani ni wanaweza ila sio sana compared na kwenye degree. Ila wote ni waalimu
 
Teaching is an art, kuna vitu viwili lazma tuviangalie kwenye ufundishaji, cha kwanza ni contents ya kile ambacho unakifundisha, pili ni uwezo wa kudeliver kile ambacho unakifundisha, Hivyo competency ya mwalimu mzuri wa diploma au degree inategemea na hivyo vitu viwili, unaweza ukawa unajua vitu yaan una contents lakin hujui jinsi ya kudeliver, unaonekana hujui kufundisha. kwa kumaliza mwl wa degree husoma mambo mengi sana hivyo ana content kubwa ukilinganisha na mwl wa diploma,lkn mwl wa diploma yupo vizur zaidi kwenye mbinu za kufundisha lakin ana contents ndogo ukilinganisha na mwl wa degree
 
Jomon npo hapa nawaza kla mtu anatetea upande wake nachojua wengi wanaoenda diploma wanalack qualification za kwenda bachelor ukiacha wale wenye sababu za msing kama kukosa mkopo na vingine turud kwenye mada ishu ya kudeliver content inategemea na mtu mwenyewe anaeza ziwemo kichwan ila hajui kushusha vtu verse vesa is true ko bachelor hama dip haimat
Nakushaur we mwenye dip jtahd uongeze degree maana degree nazo zinazoeleka sasa
 
Kabla sijasoma bachelor nilipokuwa na diploma niliamini hivyo kwa kuona walimu wengi wa bachelor kutokumudu vitu vidogo kama lesson plan but when I joined at university education ndo nimegundua kuwa mwl wa bachelor huandaliwa kwa content kubwa sana ili akawasaidie watu kuanzia kuwaongoza kuwafundisha wanafunzi wa diploma hadi darasa LA awali duniani kote na masuala ya lesson plan na scheme of work mkazo siyo MKUBWA sana kama diploma. Kwa sababu unaweza soma course zaidi ya 60 kwa miaka 3+ ambayo ni sawa na masomo ya diploma wakati diploma kwa miaka 2+ unasoma masomo 10+ tu yanayo jirudia rudia kwa miaka yote . hiyo humfanya mwalimu kuwa vuzuri kwa hicho kichache. Kama hutojali mwl wa diploma nenda bachelor ninacho zungumza utakifahamu.
 
Kabla sijasoma bachelor nilipokuwa na diploma niliamini hivyo kwa kuona walimu wengi wa bachelor kutokumudu vitu vidogo kama lesson plan but when I joined at university education ndo nimegundua kuwa mwl wa bachelor huandaliwa kwa content kubwa sana ili akawasaidie watu kuanzia kuwaongoza kuwafundisha wanafunzi wa diploma hadi darasa LA awali duniani kote na masuala ya lesson plan na scheme of work mkazo siyo MKUBWA sana kama diploma. Kwa sababu unaweza soma course zaidi ya 60 kwa miaka 3+ ambayo ni sawa na masomo ya diploma wakati diploma kwa miaka 2+ unasoma masomo 10+ tu yanayo jirudia rudia kwa miaka yote . hiyo humfanya mwalimu kuwa vuzuri kwa hicho kichache. Kama hutojali mwl wa diploma nenda bachelor ninacho zungumza utakifahamu.
Naam, kwa hapa ni kama umefunga mjadala
 
Nikisema neno hapa ntaonekana nawasimanga walimu wenye diploma.
Mimi sio mwalimu ngoja niendelee kusoma comments
 
MHhhh uliona mbali

Walimu wa primary si ndio hadi sasa wanarazimishwa washone sare kwa ajiri ya kupokea mwenge? Kaka siwashangai maana wengi wao wamepatikana kimagumashi, wanatumia vyeti vya wajomba zao, wengine wanaelimu ya darasa la nne wanafundisha la saba. Sasa ni lini watasimama na kudai haki zao? Wanaona hata hapo walipo ni neema tosha kabisa!
 
Mi Nina Diploma na Degree.Diploma unaiva sana kwenye teaching methodology na Ethics+Professional Codes of Conduct.Bachelor unakua deep sana kwenye content.Na unapokua deep kwenye content confidence inakua juu sana.Wakati nafanya kazi nikiwa na Diploma mtu wa Degree akinikosoa Mara nyingi nilimwona na kuhisi inferiority complex kua anafanya hivyo kwa kua kanizidi.Jambo hilo la kudharaulika lilinifanya nikasome.Na dawa ni kusoma tu,Degree ni degree tu mana Ada ya Diploma kwa mwaka haizidi 200,000 ila Baed ni zaid ya 800,000.
 
Mkuu kweli nina diploma na kutokana na nilivyoona uwezo wa wale degree holder nimeona sina haja ya kuchukua degree maana hakuna walichonizidi ! pia kuhusu sifa kuanzia za form 6 hadi matokeo yangu ya dip yananiruhusu kuchukua degree...sasa nifuate nini huko? kuongeza mshahara au? maana maujuzi...hahaha!
Kuwa muwazi mkuu sifa huna.
 
Back
Top Bottom