mwanamanzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 271
- 353
Ahsante sana*148*30#
*148*30*35# UNI BUNDLES
*150*71# T-PESA
Nikaangalie kama laini haijafungiwa
Ahsante sana*148*30#
*148*30*35# UNI BUNDLES
*150*71# T-PESA
Ninakoishi huku hakuna vocha zenu wala wakala kwa hili mnatusaidiaje watu wenye line zenu
Mbona kitambo sanaTtcl hv Toboa Night pack umeiondoa aiseee
Daah mimi niliomba kuunganishwa na fiber, nikajaza form huu mwezi wa nne hao technician wao sijawaona, nilifany follow up kama mara 2 hivi kuuliza, wanasema wameniweka kwenye list, ikifika zamu yangu watakuja?hawa jamaa ni wazembe balaa, nilichofanya ni kununua line yao na simu simbanet wakizingua najiunga kifurushi kwao
Leo jioni dereva wenu mbabu hivi alitaka kunigonga Nyerere square pale mlimtuma?
Kweli kaka nimeruka kama swala walahi ningekuwa sina umakini kidogo jamaa angepita na fito yangu🤣, ila jamaa wenye gari zenye plate number SU, ST...... DFPA huwa wana mwendo wa kibabe sana.kuwa siriazi basi
Kweli kaka nimeruka kama swala walahi ningekuwa sina umakini kidogo jamaa angepita na fito yangu, ila jamaa wenye gari zenye plate number SU, ST...... DFPA huwa wana mwendo wa kibabe sana.
Kwahiyo bandika bandua ndio hatunayo tena?