Amesikika Samia Suluhu Hassan akisema hatuna rais mwanamke. Akiendelea kasema rais mwanamke tutamweka 2025.
Amesema huyu tunayemwona sasa kaingia kwa kudra za Mola tu.
Ni wazi kuwa mheshimiwa huyu kesha nogewa kama mwonja asali vile. Tamaa yake iko sasa kwenye kuendelea kuwa rais 2025. Hii aliyonayo anazuga kuwa si mali kitu.
Katiba inabidi kuwa wazi: chaguzi ziwe huru, haki na zenye kuaminika. Achaguliwe mtu kwenye ushindani siyo kwenye ubakaji wa demokrasia.
Kesi ya Mbowe, makatazo kwenye mikutano ya siasa, kusimamisha uchumi kwanza, katiba si kipaumbele nk yote ni visingizio.
SSH ana nia ya kuendelea kubakia madarakani kwa namna yoyote. Mawazo yake muda wote yako kwenye post 2025 yeye kama rais huku akijua panapo ushindani wa haki hatoboi.
Ni wazi kuwa kwa miaka 4 hii kama chanjo za J&J zitatunusuru, tutaona mengi.
Anavutiwa na nia zozote za kususia chaguzi na hasa zile za 2024/25. Ni nia yake na wapambe wake kuwa chaguzi hizo zifanyike kwenye mazingira yale yale ya 2019/20. Lengo likiwa kukwiba kama mwendazake.
Kuhalalisha hayo anadai kila nchi ina demokrasia yake. Kwamba demokrasia siyo universal. Huyu bila katiba mpya, demokrasia kwa mara nyingine itabakwa!
2021 CCM tayari wana mgombea?Miaka 4 kabla?! Anaye tuhabarisha hayo ni mwali mwenyewe?!
Hiiiiii bagosha!
Kesha onja asali. Wala hofu ya Mola haipo tena. Kama mwendazake, naye anataka kuchonga mzinga.
Amesema huyu tunayemwona sasa kaingia kwa kudra za Mola tu.
Ni wazi kuwa mheshimiwa huyu kesha nogewa kama mwonja asali vile. Tamaa yake iko sasa kwenye kuendelea kuwa rais 2025. Hii aliyonayo anazuga kuwa si mali kitu.
Katiba inabidi kuwa wazi: chaguzi ziwe huru, haki na zenye kuaminika. Achaguliwe mtu kwenye ushindani siyo kwenye ubakaji wa demokrasia.
Kesi ya Mbowe, makatazo kwenye mikutano ya siasa, kusimamisha uchumi kwanza, katiba si kipaumbele nk yote ni visingizio.
SSH ana nia ya kuendelea kubakia madarakani kwa namna yoyote. Mawazo yake muda wote yako kwenye post 2025 yeye kama rais huku akijua panapo ushindani wa haki hatoboi.
Ni wazi kuwa kwa miaka 4 hii kama chanjo za J&J zitatunusuru, tutaona mengi.
Anavutiwa na nia zozote za kususia chaguzi na hasa zile za 2024/25. Ni nia yake na wapambe wake kuwa chaguzi hizo zifanyike kwenye mazingira yale yale ya 2019/20. Lengo likiwa kukwiba kama mwendazake.
Kuhalalisha hayo anadai kila nchi ina demokrasia yake. Kwamba demokrasia siyo universal. Huyu bila katiba mpya, demokrasia kwa mara nyingine itabakwa!
2021 CCM tayari wana mgombea?Miaka 4 kabla?! Anaye tuhabarisha hayo ni mwali mwenyewe?!
Hiiiiii bagosha!
Kesha onja asali. Wala hofu ya Mola haipo tena. Kama mwendazake, naye anataka kuchonga mzinga.