Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,594
- Thread starter
- #61
Wewe umeelewa nilichokiandika? Umeelewa ulichokisoma? Unaelewa ‘in a roundabout way’ maana yake ni nini?Mleta mada hataki kukiri kwamba hakumwelewa Fatma. Hataki kuelewa kwamba Fatma alitumia Fasihi katika kuchokoza mada. Bahati mbaya hakusikiliza mjadala wenyewe. Bahati mbaya tena haoni kwamba amekosea.