Hahaha, Ok Nyani, no need to be Sorry, ila ni vizuri ujiweke clear upo upande gani, hamna "Ukweli" duniani, Ukweli kwako unaweza kuwa uongo kwa mwingine. Ukweli ni relative thing
Mimi nazungumzia ukweli wangu.

Ya wengine nawaachia wengine.
 




Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why ?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
Haijawai kuwa upande wa Haki ndo huelewi kitu. hivyo tulia
 
Zile tweet zake sasa hivi hazipo...na ushangazi wake kwa makamanda upo shakani
Ni kama yuko biased!

Magufuli angefanya hivi hivi alivyofanya Samia sasa hivi, kangekuwa kako mstari wa mbele kumchana Magufuli!

Not principled at all.
 
Fatma alikuwa mmoja wa wapiga debe wakubwa wa Mheshimiwa Rais wa sasa. Aliamini kuwa kama mwanamke mzanzibari halafu muislamu utawala wake utatofautiana sana na uliomtangulia. Alisema hulka yake haiko hivyo. Alitaka apewe muda ili aweke mambo sawa. Lakini matukio ya hivi karibuni yamembadilisha mawazo na sasa hivi ni critic mkubwa wa utawala uliopo. Amekiri kuwa alikosea.

Amandla....
 
Fatma alikuwa mmoja wa wapiga debe wakubwa wa Mheshimiwa Rais wa sasa. Aliamini kuwa kama mwanamke mzanzibari halafu muislamu utawala wake utatofautiana sana na uliomtangulia. Alisema hulka yake haiko hivyo. Alitaka apewe muda ili aweke mambo sawa. Lakini matukio ya hivi karibuni yamembadirisha mawazo na sasa hivi ni critic mkubwa wa utawala uliopo. Amekiri kuwa alikosea.

Amandla....
“Amekiri kuwa alikosea” wapi? Kuna video au andiko lake popote pale linaloonyesha amekiri?
 
Hii nadhani ni ya muda kidogo Nyani. Fatma sasa hivi kabadilika sana kuhusu kumkosoa huyo wa kudemka. Nafuatilia karibu kila siku Maria Space kule Twitter na kama mtu humjui kwamba hana chama basi utahitimisha kwamba ni Chadema.





Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why 🤔?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
 
Huu mjadala niliufuatilia vizuri sana. Na kwa jinsi ambavyo nimemuelewa Fatma Karume, ni kwamba anahisi CHADEMA wanafanya wafanyayo sasa kwa Samia kwavile ni mwanamke. Akawa anasema kipindi cha Magufuli wapinzani waliufyata, ila now wanaprovoke Samia kutoka na gender yake.

Baada ya kongamano la katiba kuzuiwa Mwanza, uhamuzi wa Mbowe kwenda Mwanza kusimamia ilo swala, Fatma alilitafsiri kama dharau kwenda kinyume na kauli ya Samia ( kwavile ni mwanamke).

Fatma ni feminist.

Lissu kuna kauli yake moja niliielewa sana. "Samia ni Mama kwa watoto wake,Rais kwa sisi wengine. Kauli ya Rais sio sheria, akikosea, atakosolewa"
 
Hii nadhani ni ya muda kidogo Nyani. Fatma sasa hivi kabadilika sana kuhusu kumkosoa huyo wa kudemka. Nafuatilia karibu kila siku Maria Space kule Twitter na kama mtu humjui kwamba hana chama basi utahitimisha kwamba ni Chadema.
Hmm okay!
 
Back
Top Bottom