Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,580





Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why 🤔?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
 
Nationalism at it's peak, aliyepo sio msukuma wa bara ni mzanzibar kwahiyo ni lazima amsupport. Iweje wakati wa JPM hakusapoti yaliyofanyika? Maana hayana tofauti na yanayofanyika katika utawala wa huyo anaemuita mwanamke.

Mimi ni mwanaCCM lakini kwenye hiyo video ya kwanza Lissu kajibu kwa akili sana.
 
Mkuu nadhani hujamwelewa kabisa Shangazi Fatuma Karume! Kwanza huu mjadala ulifanyika jana kupitia Maria Sarungi space kwenye twitter.

Mjadala huu ulikuwa mrefu sana na kulikuwa na washiriki wengi nadhani kama 4,000 hivi. Ulianza saa mbili usiku hadi zaidi ya saa sita usiku.

Niliusikiliza; hapo Fatuma alikuwa akiuliza maswali chokozi na chokonozi ili Tundu afunguke. Kwa kizungu ni kama alikuwa anauliza leading questions!
 
Huyu ni shangazi wa Chadema,wacha awanange.Alikuwa mkorofi sana enzi za JK alidiriki kuzaba wanahabari vibao.Enzi za JPM ndio rasmi akaamua kupata faraja kwa makamanda na sasa ameamu kuonyesha rangi zake
Ni kama yuko biased!

Magufuli angefanya hivi hivi alivyofanya Samia sasa hivi, kangekuwa kako mstari wa mbele kumchana Magufuli!

Not principled at all.
 
Mkuu nadhani hujamwelewa kabisa Shangazi Fatuma Karume! Kwanza huu mjadala ulifanyika jana kupitia Maria Sarungi space kwenye twitter. Mjadala huu ulikuwa mrefu sana na kulikuwa na washiriki wengi nadhani kama 4,000 hivi. Ulianza saa mbili usiku hadi zaidi ya saa sita usiku.
Niliusikiliza; hapo Fatuma alikuwa akiuliza maswali chokozi na chokonozi ili Tundu afunguke. Kwa kizungu ni kama alikuwa anauliza leading questions!
Wewe nadhani ndo hujanielewa!

Unajua maana ya ‘in a roundabout way’?

Umesoma na kuelewa nilichokiandika kuhusu ‘in a roundabout way’ hapo juu?
 
Nilifuatilia ule mjadala live.

Hujaelewa Shangazi alichokuwa anafanya, Aliamua kupose kama wale pro-Samia, ili kuuliza swali ambalo pro-Samia wamekuwa wakiliuliza, kuwa kwa nini hawakumpa muda Samia aconsolidate power, lengo ni kupata detailed response ya Lissu how to answer that.

Mbona Shangazi amekuwa critical sana wa serikali ya Samia?
 
Nilifuatilia ule mjadala live.
Hujaelewa Shangazi alichokuwa anafanya, Aliamua kupose kama wale pro-Samia, ili kuuliza swali ambalo pro-Samia wamekuwa wakiliuliza, kuwa kwa nini hawakumpa muda Samia aconsolidate power, lengo ni kupata detailed response ya Lissu how to answer that.

Mbona Shangazi amekuwa critical sana wa serikali ya Samia?
Nimeelewa sana.

Lakini anavyouliza, ukisikiliza tone yake, utaona kuwa in a roundabout way, hivyo ndivyo anavyosema.

Unaelewa maana ya ‘in a roundabout way’?
 
Naeleweka sana. Nipo upande wa ukweli.

Tundu Lissu akisema ukweli, nakubaliana naye.

Hata wewe ukisema ukweli, nitakubaliana nawe.

Ukisema uongo na pumba, nitakuchana.

Your brain can’t process that?
It can man, una uhakika gani TL anaongea "Ukweli"? Or "Ukweli" ni nini kwako?
 
Nimeelewa sana.

Lakini anavyouliza, ukisikiliza tone yake, utaona kuwa in a roundabout way, hivyo ndivyo anavyosema.

Unaelewa maana ya ‘in a roundabout way’?
Kwa kuwa nimemfuatilia sana Shangazi tangu utawala wa samia ulivyoanza, mahojiano yake na Maria, tweets zake, na msimamo wake wa Katiba mpya, then conclusion inayokuja ni kuwa aliamua for the sake of argument kujivika u pro-Samia ili kumgrill Lissu aje na majibu ya maana ya kuvunja ile hoja ya kuwa Chadema hawakumpa Samia heshima stahiki, Trend record yake haionyeshi kabisa kuwa yuko camp "Samia apewe muda"
 




Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why ?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
Your nature of lukewarm describes you as a no free style Boy,but rather a flag that flaps by being hustled by abrupt wind
 
Kwa kuwa nimemfuatilia sana tangu utawala wa samia ulivyoanza, nahojiano yake na Maria, tweets zake, na msimamo wake wa Katiba mpya, then conclusion inayokuja ni kuwa aliamua for the sake of argument kujivika u pro-Samia ili kumgrill Lissu aje na majibu ya maana ya kuvunja ile hoja ya kuwa Chadema hawakumpa Samia heshima stahiki
Fine.

That’s your take.

My take is that she is caping hard for Samia.

She doesn’t go HAM on her like she did with Magufuli.
 
I don’t think your brain is capable of processing nuance nor synthesizing your thoughts into words!

Sorry.
Hahaha, Ok Nyani, no need to be Sorry, ila ni vizuri ujiweke clear upo upande gani, hamna "Ukweli" duniani, Ukweli kwako unaweza kuwa uongo kwa mwingine. Ukweli ni relative thing
 
Back
Top Bottom