Huu mjadala niliufuatilia vizuri sana. Na kwa jinsi ambavyo nimemuelewa Fatma Karume, ni kwamba anahisi CHADEMA wanafanya wafanyayo sasa kwa Samia kwavile ni mwanamke. Akawa anasema kipindi cha Magufuli wapinzani waliufyata, ila now wanaprovoke Samia kutoka na gender yake.

Baada ya kongamano la katiba kuzuiwa Mwanza, uhamuzi wa Mbowe kwenda Mwanza kusimamia ilo swala, Fatma alilitafsiri kama dharau kwenda kinyume na kauli ya Samia ( kwavile ni mwanamke).

Fatma ni feminist.

Lissu kuna kauli yake moja niliielewa sana. "Samia ni Mama kwa watoto wake,Rais kwa sisi wengine. Kauli ya Rais sio sheria, akikosea, atakosolewa"
Me and you are thinking on the same wavelength!

In a roundabout way, that [what you have described] is what she is saying!
 
Hajafuta hata moja. She is not one to be embarrassed by her previous tweets. She calls it as she sees it and if time proves her wrong she admits it and moves on.
Tofauti na wale wanajipinda kama pretzel kutaka kutuaminisha kuwa siku zote walikuwa supporters wakubwa wa chanjo.

Amandla....
Akina nani hao wanaoaminisha kuwa siku zote walikuwa supporters wa chanjo?
 
Kwa kuwa nimemfuatilia sana Shangazi tangu utawala wa samia ulivyoanza, mahojiano yake na Maria, tweets zake, na msimamo wake wa Katiba mpya, then conclusion inayokuja ni kuwa aliamua for the sake of argument kujivika u pro-Samia ili kumgrill Lissu aje na majibu ya maana ya kuvunja ile hoja ya kuwa Chadema hawakumpa Samia heshima stahiki, Trend record yake haionyeshi kabisa kuwa yuko camp "Samia apewe muda"
Ndiyo maana yake hiyo mkuu. Mimi nilimuwlewa hivyo. Na hata kabla Lissu hajajiunga, Fatma alipokaribishwa kuchangia alisema mimi leo nitachangia kwa njia tofauti na akauliza maswali yale yale aliyomuuliza Lissu baada ya kujiunga. Alikuwa anauliza maswali chokonozi na chochezi kushajihisha mjadala.
 




Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why ?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
Kiukweli Lisu ni mwanasiasa mjuzi Sana., Fatma Karume anamwelewa, lakini alijitoa ufahamu tu. Lisu anastahili Kuwa Raisi wa nchi hii, ni vile tu Tanzania imejaa manyang'au wa siasa
 




Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why 🤔?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.

Ambacho haujaelewa mkuu ni kwamba,Fatima Karume alikuwa anatoa leading questions kwa Tundu,hakuwa na maana ya kumtetea Samia
 
Hahaha, Ok Nyani, no need to be Sorry, ila ni vizuri ujiweke clear upo upande gani, hamna "Ukweli" duniani, Ukweli kwako unaweza kuwa uongo kwa mwingine. Ukweli ni relative thing
Are crazy? Nani alikuambia ukweli ni relative? You cant be serious. Tatizo wewe umeathirika sana na huu ubishi wa kibongo-bongo, unajikita kwenye ushabiki zaidi mpaka ukasahau kuwa ukweli una-exist!
 
ITS SO SAD KUWA HUKUMWELEWA ALICHOKUWA ANASEMA FATMA KARUME. UNGEULIZA WATU WAKUELEWESHE.






Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.

Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why 🤔?

In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.

They are being disrespectful to her because she is a woman.

Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!

Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.

On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.

BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.

She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.

No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
 
Naeleweka sana. Nipo upande wa ukweli.

Tundu Lissu akisema ukweli, nakubaliana naye.

Hata wewe ukisema ukweli, nitakubaliana nawe.

Ukisema uongo na pumba, nitakuchana.

Your brain can’t process that?
Huyo uliyemjibu amestahili jibu lako.

Ni watu wachache sana wanafuata ukweli popote ulipo.

Yeye anadhani ukiwa A basi B akiongea ukweli upinge tu.
 
Swali la Fatma zuri sana...sema watu ni wavivu kusikiliza na kufikiri...Fatma amechokoza mada..na amejaribu kuwasilisha jinsi watu baadhi wanavyochukulia chadema...amempa nafasi lissu kudadavua mengi

Nashangaa mleta mada anajaribu ku personalize
Mleta mada hataki kukiri kwamba hakumwelewa Fatma. Hataki kuelewa kwamba Fatma alitumia Fasihi katika kuchokoza mada. Bahati mbaya hakusikiliza mjadala wenyewe. Bahati mbaya tena haoni kwamba amekosea.
 
Back
Top Bottom