Uchaguzi 2020 Tundu Lissu unayeota kuwa Rais wa Tanzania yetu hii, umeusikia na kuuelewa huu ujumbe?

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Muwe mnaachaga huo ujinga. Unashangaa mtu mzima, lakini anachokiandika utadhani ni darasa la kwanza. Rudia kusoma hizo bold haraf ufikiri kama umeandika kitu chenye sense
 
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
hOVYOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Je, wametupa kwa 'Kuwalazimisha' au ni kwa 'Hiari' yao tu wenyewe hasa kwa 'Kuridhishwa' na 'Utendaji' wa 'Kutukuka' wa Rais Dk. John Magufuli?
Mwaka gani, chini ya uongozi wa Rais gani, wazungu hawakuleta fedha hapa nchini? Si ndio mnawaita mabeberu?
 
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Ni Lissu mwaka huu.
 
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.


Kukubali MATOKEO IWE KWA WAGOMBEA WOTE KAMA MH. MTANWEGA MGAIWA ALIVYOSHAURI.

Wagombea WENGINE wote isipokuwa wa ccm hawajatoa KAULI ZAO ZA KUKUBALI MATOKEO HALALI KAMA WATASHINDWA.

NI VYEMA SASA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WAKATOA TAMKO LAO LA KUKUBALI MATOKEO HALALI KAMA WATASHINDWA.
 
Una uzoefu na ushoga mpaka mnajuana !!. Nenda Hansard za bunge utakuta serikali humo ikitetea haki za mashoga (waziri wa mambo ya ndani) .
Na Waziri wa nje akiwathibitishia mabalozi haki za mashoga akimkana Makonda . Sasa hapo Lissu anahusikaJe ?!.
Mkuu usiwe unawajibu hawa maana hawajui kuwa kuna watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba, hawajui familia ya Azory inavyotaabika, hawajui watu wangapi wapo mahabusu kwa uonevu.vituo vya radio na TV vinamtangaza mtu mmoja pekee kama Mobutu,, nk Lakini haki huinua taifa,
# Ni yeye 2020#
 
Mtu kama wewe genta unaekula makande yaliyochacha na korodani za mbuzi lazima uwe na mawazo ya hovyo hovyo
 
Popoma katika ubora wake, umemuona Lissu tu ndiyo mgombea.

Kwa nini usiseme Magufuli ama Lipumba ama mzee wa ubwabwa.
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
 
Haya maono yamekuwa yakijijia siku nyingi Ila nilisita kuyaweka wazi sasa uvumilivu umenishinda natema nyongo,Kama ccm mtaiba huu uchaguzi au mtashinda kihalali lakini ukweli mchungu ni kwamba nafsi inaniambia kwamba Kuna mtu hatomaliza miaka 5 yake na huu utakuwa mwanzo wa mageuzi makubwa ya kisiasa Tzn.Unaweza kubali au kukataa ko Mimi sihangaiki na kushinda au kuiba uchaguzi bali nasubili kuona Kama haya maono ni sahihi au hapana
 
Si mnalazimisha kutawala eeh??? Sasa nakwambia Magufuli, Siro na Mabeyo hawaponi arrest warrant za ICC mwaka huu. Pemba usiku huu mmeshaua wawili. Wiki hii mtatuua wote Ila tumegoma kuwa makondoo wa Ccm. Imetosha
Bado huamini kama Tanzania unayoishi na uliyozaliwa ni nchi huru?
 
Huyo ni kada hana haki ya kuwasemea watz yeye Kama ni mnufaika wa ruzuku ajiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom