Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,182
- 8,447
Mdaa huu huko Zanzibar ACT Wazalendo wanakinukisha ni mwendo wa mabomu ya machozi na mawe inasemekana baadhi ya polisi wamekimbia battle.
Kirefu cha CNN ni nini? Tuanzie hapo Kwanza ili nijue kama 'Kichwani' mwako Kumetimia au kuna 'Siafu' tu kama si 'Mchwa' na 'Sisimizi' kabisa!!!!Sasa unajifananisha wewe channel ten na mimi CNN ( Be the first to know?)
Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda MunguMgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe.Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.
ITV Tanzania
'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Unajua kuna wakati naanza kuamini kwamba CCM kuna aina ya binadam hawana ubongoMgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe.Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.
ITV Tanzania
'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
'Avatar' yangu hapa na 'Signature' yangu vyote kwa ujumla wake 'vinasadifu' uwezo nilionao ambao Mwenyezi Mungu na 'Juha' Wewe akakunyima.Huyo jamaa anajikuta mjuaji sana,kumbe kilaza tu.Wakumpuuza tu.
Endeleeni tu 'Kuvichokoza' na 'Kuvipima' Vikosi vya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania ila wakijibu 'Mapigo' msikimbilie tu kwa Mabwana zenu Ulaya.Mdaa huu huko zanzibar act wazalendo wanakinukisha ni mwendo wa mabomu ya machozi na mawe inasemekan baadhi ya polisi wamekimbia battle
Kwa hiyo wewe mhutu unapima utimamu wa mtu kuchwani kwake kwa kuweza kujua kirefu cha CNN!!Kirefu cha CNN ni nini? Tuanzie hapo Kwanza ili nijue kama 'Kichwani' mwako Kumetimia au kuna 'Siafu' tu kama si 'Mchwa' na 'Sisimizi' kabisa!!!!
Endeleeni tu 'Kuvichokoza' na 'Kuvipima' Vikosi vya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania ila wakijibu 'Mapigo' msikimbilie tu kwa Mabwana zenu Ulaya.
Ninadhani huyo 'Mhutu' unayemjua Wewe atakuwa ni 'Basha' wako ila Mimi ninavyojijua ni 'Mtutsi' ambaye nina 'Akili' kuliko 'Koo' zako zote Mbili.Kwa hiyo wewe mhutu unapima utimamu wa mtu kuchwani kwake kwa kuweza kujua kirefu cha CNN!!
Kweli kuwa mwana mbogamboga lazima ubongo unyofolewe.View attachment 1613110
Soma vizuri ulicho andika hapo wewe mama,ndio utajijua umropokaji tu.Watu wanakuchora tu na uropokaji wako...Kuna muda tunakuona kituko tu'Avatar' yangu hapa na 'Signature' yangu vyote kwa ujumla wake 'vinasadifu' uwezo nilionao ambao Mwenyezi Mungu na 'Juha' Wewe akakunyima.
Hata wahuni wanazeeka ujue..safari hii mpaka wazee wanamtaka Tundu Lissu.
..Magufuli akubali matokeo, wananchi wamemchoka.
Sawa wacha tujiandae kutimiza haki yetu ya kikatiba ya kuandamana, kama ilivyo haki ya kikatiba ya matokea ya rais kutokupingwa mahakamani hata kama ni ya dhuruma. By the way nimepokea ushauri wako japo wa kijinga lakini naupokea.Ninakuonya mapema tu 'Usithubutu' kutaka Kufanya 'Fujo' kwani kuna 'Kikosi' nimekiona kinafanya 'Mazoezi' ya 'Hatari' kukabiliana kabisa na nyie.
SawaChagua Lissu kwa manufaa ya wazungu.
..safari hii mpaka wazee wanamtaka Tundu Lissu.
..Magufuli akubali matokeo, wananchi wamemchoka.
Unaijua ICC wewe au una bwabwaja tu! Ndo anavyo wadanganya huyo Mbelgiji wenuSi mnalazimisha kutawala eeh??? Sasa nakwambia Magufuli, Siro na Mabeyo hawaponi arrest warrant za ICC mwaka huu. Pemba usiku huu mmeshaua wawili. Wiki hii mtatuua wote Ila tumegoma kuwa makondoo wa Ccm. Imetosha
Ni Bora hii mara Mia zaidi kuliko Sheria za kijinga za ushogaSerikali ya vitisho mpaka vyombo vya habari hawatangazi habari za Lissu, Dawa ni moja tu road ndio suruhisho la Tanzania na Zanzibar. Hakuna haki inakuja kiulaini laini, Wacha tujiandae.