Uchaguzi 2020 Tundu Lissu unayeota kuwa Rais wa Tanzania yetu hii, umeusikia na kuuelewa huu ujumbe?

Mdaa huu huko Zanzibar ACT Wazalendo wanakinukisha ni mwendo wa mabomu ya machozi na mawe inasemekana baadhi ya polisi wamekimbia battle.
 
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe.Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
 
Sisituna habari kuwa Jiwe tayari anazo habari za imtelingisia wake kuwa Kama NEC watafanya haki basi ataambulia 30%.

Wamwambia ujio wa Lissu umebadili mwamko wa Watanzania.
Hataki kusikia hizo habari na sasa mikakati iko mbioni kutangaza matokeo nila kuhesabu kura.
Anajua kuwa watanzani
a wamemkataa
 
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe.Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.

ITV Tanzania

'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Unajua kuna wakati naanza kuamini kwamba CCM kuna aina ya binadam hawana ubongo

Sasa inakuwaje CCM wanajihakikishia ushindi
Screenshot_20201026-234301_Instagram.jpg
 
Kirefu cha CNN ni nini? Tuanzie hapo Kwanza ili nijue kama 'Kichwani' mwako Kumetimia au kuna 'Siafu' tu kama si 'Mchwa' na 'Sisimizi' kabisa!!!!
Kwa hiyo wewe mhutu unapima utimamu wa mtu kuchwani kwake kwa kuweza kujua kirefu cha CNN!!
Kweli kuwa mwana mbogamboga lazima ubongo unyofolewe.
IMG-20201026-WA0004.jpg
 
Uchaguzi ushaisha ( Hakuna mpinzani mwenye hoja) watu tunawaza hapo za lini Magufuli anaapishwa.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Endeleeni tu 'Kuvichokoza' na 'Kuvipima' Vikosi vya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania ila wakijibu 'Mapigo' msikimbilie tu kwa Mabwana zenu Ulaya.

..kina mama nao wanampenda Tundu Lissu.

..wanaimba nyimbo nzuri kwa Tundu Lissu.

..Watu hawampendi na hawana furaha mahali alipo Magufuli.

 
Ninakuonya mapema tu 'Usithubutu' kutaka Kufanya 'Fujo' kwani kuna 'Kikosi' nimekiona kinafanya 'Mazoezi' ya 'Hatari' kukabiliana kabisa na nyie.
Sawa wacha tujiandae kutimiza haki yetu ya kikatiba ya kuandamana, kama ilivyo haki ya kikatiba ya matokea ya rais kutokupingwa mahakamani hata kama ni ya dhuruma. By the way nimepokea ushauri wako japo wa kijinga lakini naupokea.
 
..safari hii mpaka wazee wanamtaka Tundu Lissu.

..Magufuli akubali matokeo, wananchi wamemchoka.


JokaKuu, eti polisi wanafanya mazoezi ya kuwapiga wananchi wao! Ni dunia ya karne gani unakuta afande wa polisi anatamba mbele ya camera akitishia kuwapa wananchi kipigo cha mbwa koko! Ni Tanzania tu. Hebu tazama ufedhuli huu wa wana usalama wetu...


Kwa nini asiseme tutawakamata badala ya tutawapa kipigo cha mbwa koko? Hivi huyu polisi anajua anavyojishtaki?
Hivi hawa ndivyo wanavyofundishwa kweli au ni ushamba na ulimbukeni!​
 
Si mnalazimisha kutawala eeh??? Sasa nakwambia Magufuli, Siro na Mabeyo hawaponi arrest warrant za ICC mwaka huu. Pemba usiku huu mmeshaua wawili. Wiki hii mtatuua wote Ila tumegoma kuwa makondoo wa Ccm. Imetosha
Unaijua ICC wewe au una bwabwaja tu! Ndo anavyo wadanganya huyo Mbelgiji wenu
 
Serikali ya vitisho mpaka vyombo vya habari hawatangazi habari za Lissu, Dawa ni moja tu road ndio suruhisho la Tanzania na Zanzibar. Hakuna haki inakuja kiulaini laini, Wacha tujiandae.
Ni Bora hii mara Mia zaidi kuliko Sheria za kijinga za ushoga
Hatuwezi kukubali kuwa na kiongozi atakayeongoza kutupeleka kwenye hasira ya Mungu sisi
 
Back
Top Bottom