MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Tundu Lissu amekua akidhani ya kwamba eti kwakua alipigwa Risasi kwenye mwili wake, anafikiri labda eti watu wanaweza kumuhurumia na kumchagua kuwa mkuu wa Nchi.
Lakini ukweli ni kwamba... huyu jamaa hana ulinzi kwenye kinywa chake na pia hana ulinzi kwenye ndimi zake. Kiufupi ni lopolopo sana!
Hivi sijui mmenielewa nyie? Mmepimwa akili kweli? Au mmerogwa?
Tanzania inahitaji Kiongozi aliye nyooka... Kiongozi asiyekua na matashtiti... Kiongozi asiyekua na baya....na tena asiyekua na majivuno!
Sijui mmenielewa nyie watu?
Tundu Lissu amekua akidhani ya kwamba eti kwakua alipigwa Risasi kwenye mwili wake, anafikiri labda eti watu wanaweza kumuhurumia na kumchagua kuwa mkuu wa Nchi.
Lakini ukweli ni kwamba... huyu jamaa hana ulinzi kwenye kinywa chake na pia hana ulinzi kwenye ndimi zake. Kiufupi ni lopolopo sana!
Hivi sijui mmenielewa nyie? Mmepimwa akili kweli? Au mmerogwa?
Tanzania inahitaji Kiongozi aliye nyooka... Kiongozi asiyekua na matashtiti... Kiongozi asiyekua na baya....na tena asiyekua na majivuno!
Sijui mmenielewa nyie watu?