Rais wa ChadomoLumumba hawaelewi huyu ndie Raisi ajae!
Rais wa ChadomoLumumba hawaelewi huyu ndie Raisi ajae!
Sawa na inflammatory allegations zake!
Kwani unateseka ...! Kama vipi meza bogaSawa na inflammatory allegations zake!
Na vipi yule aliyejiita Kichaa alipata ajali ya nn? Mfano mwingine naona Kigwangala limeyumba na kuanguka kabisa dishi lake[emoji23]Kwa kawaida mtu aliyepitia magumu kama ajali mbaya,au kukoswa koswa na jambo la kutisha kama mh .Tundu lissu , dishi huyumba kidogo au sana.kwahiyo tumsamehe tu lissu, bado hayuko sawa kisaikolojia. Mtu mwenye utimamu wa akili na mwili hawezi fanya vituko kama lissu.
Sent using Jamii Forums mobile app
..unaambiwa hata huu mkutano wa kizushi wa hawa walioitwa viongozi wa dini umeitishwa ili kufunika Hardtalk lakini imeshindikana ! kuna tetesi next week wanaalikwa wamachinga na mamalishe
Adui mkubwa wa Lissu ni rais jiwe aliyetaka kutoa uhai wa Lissu, lakini kwa sababu Mungu siyo joni haikuwezekanaili iweje wakijua tena siyo uovu wa nchi ni baadhi ya watu waovu waliompiga risasi ukisema uovu wa nchi ni pamoja na wewe uliyeandika nimuovu na ni adui wa lissu
Kama ile ya Maendeleo hayana chama, tulipigwa sana, mniombee ... Hz kila siku lazima azirudie hadi kichefuchefu
Hard Talk, you are given guidelines of what the questions will be like, ili ujitayarishe na pia 30 minutes kabla ya kipindi , wanakaa faragha kujuana na to break the ice, ili kipindi kiende vizuri.Unaposema He did very bad in BBC unaweza kuonyesha jf alipokosea ? HARDTALK ni maswali na majibu tu , huna uwezo wa kutembea na hotuba yako , ulitaka Lissu aache kujibu alichoulizwa ili iweje ?
Mungu yupi? Krishna?Kunusurika kile kifo ilikuwa ni mkakati wa kiroho... Bila hivyo asingeweza kufika kote huko... Ona mwenyekiti anaozea segerea kama kibaka wakati hajala risasi hata moja... Matendo ya Mungu si ya mwanadamu...
Jr[emoji769]
Komaa utaelewa tu.....,!Sijaelewa,faida yake.maana yanayoendelea yanaonekana kwa macho.
Kwani matatizo yake ni matatizo ya kidunia??
Acheni uzwazwa in Zitto'z voice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mpaka atake kuipindua nchi, kwani anataka hvyo??Mtu mpaka Taifa limtambue kuwa ni mhaini ni mpaka afanye kosa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Juma ponda mali kwaja jpmkacha ujinga wauwajiunawajua wewe ??
Maiga kwa niaba ya serikali aliwatetea sana tu.
Na zitto akienda pia utataka wakamjibu!Kama Serikali inajiamini kwanini isiombe interview ili kukaunta aliyosema Lissu ili wammalize Lissu kama hawawezi basi wakae kimya wamuache Lissu afanye afanyacho
Sent using Jamii Forums mobile app