Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Ni mkakati uliondaliwa na akili kubwa ilikuwa ni lazima aanze na BBC HT ili kum shapen... Now there he goes

Jr[emoji769]
Interview ya kwanza BBC ilimtengeneza kajua kipi kinahitajika ili kuongea na wazungu.WAZUNGU KWENYE INTERVIEW WANAKU ATTACK MHUSIKA ILI UTIRIRIKE ZAIDI YA MOYO HUWA HAWAKAI PART YAKO WANAKAA UPANDE WA ADUI YAKO ILI UMWAGIKE MENGI TENA KWA FACTS WALA SIO MIHEMKO. HIVYO LISU ANATAKIWA AWE NA HATA USHAHIDI KWA BAADHI YA HOJA ATAKAZO ZIONGELEA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706
This one looks like a fake account...ninavofahamu akaunti rasmi za Tundu Lissu Twitter na Instagram ni @tundulissutz
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706

Attachment ni akaunti fake ya Tundu - Twitter
 
I believe he has to be well prepared, opportunity lost is opportunity lost.

He did very bad in BBC, aache umimi, ajitinge kwenye Tanzania na mambo muhimu yanayoyakabili watanzania.

Awaonyeshe watanzania kuwa anastahili kugombea nafasi ya uraisi, kwa mambo muhimu atakayoyaleta, njama zilizofanywa kutaka kumuua zinajulikana ulimwengu mzima, aonyeshe kuwa hiyo njama aitamrudisha nyuma.

Ajitinge kwenye siasa za ujumla na sio za kichama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema He did very bad in BBC unaweza kuonyesha jf alipokosea ? HARDTALK ni maswali na majibu tu , huna uwezo wa kutembea na hotuba yako , ulitaka Lissu aache kujibu alichoulizwa ili iweje ?
 
Kuna ushahidi gani zaidi ya majeraha aliyo nayo na kauri zinazo tolewa hivi sasa na baadhi ya wahusika?
Interview ya kwanza BBC ilimtengeneza kajua kipi kinahitajika ili kuongea na wazungu.WAZUNGU KWENYE INTERVIEW WANAKU ATTACK MHUSIKA ILI UTIRIRIKE ZAIDI YA MOYO HUWA HAWAKAI PART YAKO WANAKAA UPANDE WA ADUI YAKO ILI UMWAGIKE MENGI TENA KWA FACTS WALA SIO MIHEMKO. HIVYO LISU ANATAKIWA AWE NA HATA USHAHIDI KWA BAADHI YA HOJA ATAKAZO ZIONGELEA.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Back
Top Bottom