Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

They did not want facts from Tundu Lissu, they have facts, all they wanted is for Lissu to to use that platform to speak to the world about the primitive governance of one of the poorest countries of the world.

Sent using Jamii Forums mobile app
It's correct, such platforms
Wale waliotaka kumuua ndio wazalendo sio? Serikali na Bunge limemtupa bila hata kutoa senti ya matibabu wacha akinukishe tujue mbivu na mbichi...
Kweli kabisa, wengi wanapigwa upofu na maendeleo ya vitu na kusahau madhila uliyopitia mwenzetu.e Jaribio lile ni sawa na kuokolewa mkononi mwa Simba.
 
Wengi tumepumbazwa na maendeleo ya vitu na kusahau ubinadmu kwa madhila yaliyompata mwenzetu. Kwa shambulio lile ni Mungu tu alimuokoa na kuvuruga mawazo yao wakakubali na Ile sauti ya kumpeleka Nairobi, ni sawa na kuchomoa kwenye shimo la Simba kama Daniel
 
Robert Kyagulanyi Ssentamu aka Bobi Wine alitangulia kupita huko.....Ni nini kilitokea kwa Uganda/Museveni!? Mabeberu sio watu wazuri, mpaka makamanda mnakubali USHOGA!
Presha inapanda,presha inashuka

Kwa style hii ya Mkulu ya vikao na wadau mbalimbali,Tundu atajikuta yuko pekee na wazungu...siku Mkulu akiamua kuongea na wapinzani ukumbi wa Mwl Nyerere
Hakuna mpinzani atakayekwenda..labda Mrema na Cheyo
 
Duh! Jamaa anapagawa vibaya, wenzie wanachanja mbuga tu huku. Yeye anaishia pa mdomo tu.
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kiukweli mimi binafsi tundu lissu kwasasa simuelewi kabisa kwahayo anayoyafanya naanza kuamini huyu bwana sio mzalendo kweli tena hafai kabisa kwenye Jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wasiojulikana mnawapenda sana? km hamwapendi watajulikana lini?[/QUOTE]
 
Rais anaeandaliwa na Vyombo vya Habari vya Kimataifa. Endeleeni kujifariji maana hata 2015 wakati Lowassa anahama CCM kwenda UKAWA mlijifariji na nukuu ya Baba wa Taifa kwamba Mpinzani wa Kweli atatoka CCM. Mkajisahaulisha kuwa Tanzania ilikuwa inaongozwa na Chama Kimoja hivyo automatic Watu wote walikuwa na asili ya CCM by one way or another.
Mwache azurure Kwenye vituo hivyo hiyo ni aina ya siasa za matukio za Chadema.
Tunamsubiri nyumbani kwani Mkataa kwao ni MTUMWA.
Lingine anatakiwa kupatiwa msaada wa Kisaikolojia wa hali ya juu. Sababu ukimsikiliza anachoongea unatambua hamaanishi
Bashite bwana wewe Magufuli na wana ccm wote munajuwa Magufuli alishindwa
 
Safi kabisa, labda atazungumzia matatizo na shida za Singida Mashariki, lile jimbo maskini halina mwakilishi muda sasa..kupitia huko cnn na aljazeera labda sasa watasikilizwa....
 
image.jpg
Safi lisu.
Tarehe ya kwenda CNN usisahau kuambatanisha na tarehe ya kurudi.
 
Back
Top Bottom