Mimi mmoja wapo niliemuonea huruma na kuchangia US$100/=, kama uwezo wangu, kwenye mchango wa matibabu yake Nairobi.Ninyi viumbe mnasikitisha sana.Eti aache umimi!?Wakati anavurumishiwa marisaa kuna mmoja kati yenu aliye muonea huruma?Yeye anawachapa kwa hoja na maneno mnafura kama furukobe wajawazito!Tulieni.Mbona yeye alivyokuwa anarushiwa marsaa alitulia kwa kujilaza garini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mwenda wazimu tuu atakayependa Mwanadamu aumizwe au kuuwawa.
Sent using Jamii Forums mobile app