Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,114
- 32,950
Mwambie aache ushamba wake.Nunueni champagne basi mfanye sherehe
Mwambie aache ushamba wake.Nunueni champagne basi mfanye sherehe
Ushoga Mahiga ndio aliukubali kwa niaba ya serikali, sio Lissu. Tafuta mtu akutafsirie vizuri yale mahojiano.Robert Kyagulanyi Ssentamu aka Bobi Wine alitangulia kupita huko.....Ni nini kilitokea kwa Uganda/Museveni!? Mabeberu sio watu wazuri, mpaka makamanda mnakubali USHOGA!
Mnajipa matumaini ila ukweli mnaujua.Pole IQ yako iko chini mno hoja ya jibu langu sio saizi yako kwa level ya akili yako
Si walipaji ninyi!Mkikopeshwa kulipa hadi ugomvi.Refer ndege za Kanada.Mnajua kukopa tu hadi neti.Kwenye madini mnapigwa chenga za mwili tu.😂😂😂😂😂Hakuna kitu kinaitwa msaada toka kwa mzungu. Unaletewa ARV ,wanakuja na makampuni yao ya ujenzi, madini nk unaambiwa tusaini hivi.Kama hiyo ARV ndio biashara kabisa,sema siwez kuliongea hapa coz sio mjadala wake.Elewa hakuna kitu cha bure
Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Soma mahojiano ya Elton Tundu Lissu John na bwana Sackur kwa umakini hapo chini. Halafu urudi na msimamo wenu kwa sasa juu ya USHOGA.Ushoga Mahiga ndio aliukubali kwa niaba ya serikali, sio Lissu. Tafuta mtu akutafsirie vizuri yale mahojiano.
Unaandika Trash. Kaombe wewe kama watakubali.Ndio ujue mnatuletea post za kitoto humu.
By the way ya BBC HARD TALK tunajua aliiomba lkn matokeo yake yamekuwa si rafiki kwake.
Huruma sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaambiwa hata huu mkutano wa kizushi wa hawa walioitwa viongozi wa dini umeitishwa ili kufunika Hardtalk lakini imeshindikana ! kuna tetesi next week wanaalikwa wamachinga na mamalisheMkuu,ukimuona mwana ccm pita nae mbali kabisa, anaweza kukurarua..wamepanic vibaya..BBC Hard Talk imewasambaratisha.
Ninyi viumbe mnasikitisha sana.Eti aache umimi!?Wakati anavurumishiwa marisaa kuna mmoja kati yenu aliye muonea huruma?Yeye anawachapa kwa hoja na maneno mnafura kama furukobe wajawazito!Tulieni.Mbona yeye alivyokuwa anarushiwa marsaa alitulia kwa kujilaza garini?😂😂😂😂😂😂😂I believe he has to be well prepared, opportunity lost is opportunity lost.
He did very bad in BBC, aache umimi, ajitinge kwenye Tanzania na mambo muhimu yanayoyakabili watanzania.
Awaonyeshe watanzania kuwa anastahili kugombea nafasi ya uraisi, kwa mambo muhimu atakayoyaleta, njama zilizofanywa kutaka kumuua zinajulikana ulimwengu mzima, aonyeshe kuwa hiyo njama aitamrudisha nyuma.
Ajitinge kwenye siasa za ujumla na sio za kichama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa tls, watz hatuchagui mlemavu. Hata katiba haitaki.Lumumba hawaelewi huyu ndie Raisi ajae!
Sio mikutano na kina shehe zuberi, alhad na mchungaji kakobe daily.Haya ndio mambo ya kuangalia sasa!
Maccm kama nawaona vile mnavyopanic.....
If that's the case then why all this noise.matumizi mabaya ya fedha za chama. unless kuna mfadhili wake maalum anayegharamia hizo ziara za kwenye TV mbali mbali ambazo they have very little impact kwenye maisha ya watanzania.
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.
Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira
Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine
Mwanahabari Huru
----------------
View attachment 1002706