tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,181
- 27,781
Point yangu ni kuwa, asiyejuwa hata kujiongoza kimavazi atajuwa kuongoza jamii?
mavazi ndio yanaongoza watu au ni akili? Kama ingekuwa hivyo basi Nyerere asingeweza kuongoza hata kijiji cha ujamaa kwa kuwa sijawahi kumuona akiwa amevaa suti (kama unavyotaka).