Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.
Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.
Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.
Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.
Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
Kumbe mnajadili nguo za watu haya mkimaliza mnishtue
Who are you to choose what people want to dress on
By the way hujawahi kuandika jambo lolote kenye mantic
Mbona hakuna picha ya koti? tutajuaje kama sio chuki binafsi ?je wewe umevaa vizuri? some thing is a relative term unachokiona kizuri wewe mwenzio anaona kibaya na unacho kiona kibaya wewe mwenzako nakiona kizuri be specific
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.
Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.
Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.
Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.
Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
yaani na bichwa lako lote hilo umebweteka makalio mbele ya Runinga, una watch TBC Kipindi cha Bunge mwisho wa siku ulichodaka ni Tundu Lisu amevaaje!!!? Kweli Bichwa lako ni Zigo hatareee!!Ukienda shule, maana inaonesha wewe bado ni mwanafunzi, unavaa kama unavyokwenda kwa hawara yako?
yaani na bichwa lako lote hilo umebweteka makalio mbele ya Runinga, una watch TBC Kipindi cha Bunge mwisho wa siku ulichodaka ni Tundu Lisu amevaaje!!!? Kweli Bichwa lako ni Zigo hatareee!!
Dada yangu faizaFox TZ ilipofikia hatuangii mavazi, nchi yetu imekaa vibaya, kama kuvaa Tanzania iko uchi, imevuliwa nguo
na hao wavaa suti!!
Tunahitaji watu kama Tundu Lisu ili watukwamue!! Ipende nchi yako na WaTZ!!
Tundu pia alivaa suti lakini hata kanuni ya suti haijui. Kama ilivyo kwako wewe.
Nakuuliza, umeshawahi kusikia kuhusu "power dressing"? kama bado, just google. Labda utafunguka.
Kumbe interest yako kwenye bunge siyo mtu kaongea nini ila kavaa nini. Bila shaka watu kama nyie ndo Ndugai aliwalenga pale aliposema baadhi ya wabunge wakijua watachangia hoja hujikwatua vilivyo kwani wanajua watakuwa wanaonekana kwenye luninga. Mimi huwa napenda kusikia anachosema regardless of the attire. Kweli binadamu tuna vionjo tofauti na ambavyo pia vinachangiwa na kiwango cha elimu ya mtu.
Kama kuna mtu stupid nimewai kumuona au kumsikia basi wewe faizafoxy unaongoza. Badala ya kuleta hoja za maana tujadili unakuja na msvazi sijui yamefanya nini. Kwani hii blog ya udaku? Na pia kwani kule bungeni wanatafuta models au wanadiscus hoja za msingi? Hao magamba unaowasifia kuvaa vizuri alafu vilaza ka wewe kule bungeni ni tight place kwao unafikiri.
ama kweli haya mambo magumu. bado tunajaji kitabu kwa kuangalia kava lake katika zama hizi?
We mbona unavaa chupi oversize...tunakustahi tu ..mititi kama matikiti maji
UNGEWEKA PICHA YA BABA YAKO NA YA TUNDU LISSU, then wadau tufanye tafakari za ulinganifu!!