Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tundu Lissu, ni aibu jamani

Kioo cha Jamii ktk muono gani FF? Aina ya mavazi- suti, lebo ya mavazi anayovaa, au jinsi yanavyomsitiri?

Kwa mavazi ya Mh. Rais alipowakaribisha wapinzani, how can you define his suit? Kwa mavazi ya shati la kitenge na suruali ya kitambaa na viatu vya 'sandoz' visivyo vya mkanda vya Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Mangula, how can you define him?

Wewe huna hata macho? wala hujuwi kusoma? nimesema kavaa koti kubwa kuliko mwenyewe.

Hivi wewe uliona?
 
Kisa cha kumfananisha mwenzio maiti angali yupo hai ni nini?nina pata shida na busara zako,

Maiti ndio huvalishwa, ikiwa ndogo, ikiwa kubwa, twende tu. Nyinyi hamvalishi maiti zenu suti? ni nani anae wapima?

Sasa huyo tundu kauvaa mkoti mkubwa kuliko yeye mwenyewe, alivalishwa kama maiti?
 
Nitaja kukufanyaga nyumba ndogo tu wewe!
Lakini jaribu kurekebisha kauli yako mwehu wewe!

Mwehu ni wewe usiyejuwa maana ya mavazi.

Wewe unajuwa hata kufunga tai unapokwenda kwenye intavyuu? au mpaka umtafute jirani aje kukufunga?

Nna uhakika mtu kama wewe na wenzako humu hamjui hata maana ya "Never, always, sometimes".

Haya nenda katumie google uje kuwaelimisha na wenzako, maana mnaona shem kupewa darsa la mavazi na FF.

Ukishaijuwa maana yake, nenda kamfundishe Tundu na Slaa.
 
Ulitaka uione kwa nani ndo ujue huo ni mtindo waliochagua. BTW ni furaha kwa jf kuwa na mtaalamu wa mavazi wa aina yako

Nna uhakika mtu kama wewe na wenzako humu hamjui hata maana ya "Never, always, sometimes".

Haya nenda katumie google uje kuwaelimisha na wenzako, maana mnaona shem kupewa darsa la mavazi na FF.

Ukishaijuwa maana yake, nenda kamfundishe Tundu na Slaa.
 
Nna uhakika mtu kama wewe na wenzako humu hamjui hata maana ya "Never, always, sometimes".

Haya nenda katumie google uje kuwaelimisha na wenzako, maana mnaona shem kupewa darsa la mavazi na FF.

Ukishaijuwa maana yake, nenda kamfundishe Tundu na Slaa.

kwenye taifa tutafaidika na nini, kuna mijitu kama wewe ni mipumbavu sana yalichagua rais eti kwa kigezo cha urembo ------- sana matokeo waarabu wakaanza kumpendezesha mara suti tano mara wanamlipia chumba guest house yaani ni majanga mwanzo mwisho...
 
Mwehu ni wewe usiyejuwa maana ya mavazi.

Wewe unajuwa hata kufunga tai unapokwenda kwenye intavyuu? au mpaka umtafute jirani aje kukufunga?

Nna uhakika mtu kama wewe na wenzako humu hamjui hata maana ya "Never, always, sometimes".

Haya nenda katumie google uje kuwaelimisha na wenzako, maana mnaona shem kupewa darsa la mavazi na FF.

Ukishaijuwa maana yake, nenda kamfundishe Tundu na Slaa.

unawaza kwenda kwenye interview tu hujui kuna watu wao ndio maboss..
 
Point yangu ni kuwa, asiyejuwa hata kujiongoza kimavazi atajuwa kuongoza jamii?

huu ni wenda wazimu kutulazimisha tanzania lazima kiongozi wetu awe mrembo mpaka abaejichubua kama nape, kikwete, lowasa na wengine..
 
Maiti ndio huvalishwa, ikiwa ndogo, ikiwa kubwa, twende tu. Nyinyi hamvalishi maiti zenu suti? ni nani anae wapima?

Sasa huyo tundu kauvaa mkoti mkubwa kuliko yeye mwenyewe, alivalishwa kama maiti?


ahaa kumbe tatizo ni dini ya Tundu Lisu?majibu unayotoa hayaendani na umri wako mtu mzima hovyo kabisa!!kama nyie ndio mnaitwa great thinkers humu jf basi jamii ya kitanzania tuna matatizo sana,

Si kila mtu anayekupinga ni mkristu!!

heshima yangu niliyokuwa nayo kwako natupa chooni
 
Huyu ff anaweza akawa anapiga kelele humu ndani kujifanya mtaalam nadhifu wa mavazi kumbe vichupi vyake vimekomaa kwa ukoko kama biskuti! Chupi ukiisahau nje, asubuhi huikuti kumbe paka au mbwa kala akidhani mzoga!
 
Hivi nayohii ni hoja?Great thinkers kweli hii ni hoja?mimi naamini kuwa mtu asemacho au kufanya kina aksi uwezo wa ubongo wake kufikiri.katika hili mimi nasema kila mtu ana haki ya kuvaa jinsi apendavyo kufuatana na wakati na mahali alipo.
 
Tundu Lissu anavaa makoti na suruari oversize ambayo ni sifa ya vijana wa unga limited. Atakuwa anashirikiana nao kula shwishwi.
 
Wajinga ni nyinyi msiojuwa maana ya mavazi, hususan kwa kiongozi.

Mnachokitetea ni nini? jitu livae kama ni maiti kavaliswa tu, halafu anakwenda kulitangazia taifa halafu mnaona sawa tu?

Hivi nyinyi mkiitwa misukule kumbe ni kweli.

Kwan wewe huo umuhimu unaujua? Uyo kikwete mwenyewe unae msifia anavaa kwa utamadun wa dini unayoichukia wap na wap, civilization started to christians na baat mbaya mlengo unaodhan upo wote sasa wanapiga salute kwa wavaa suti ba wameziacha tradition zao za far east.

Itakuwa wewe faiza ulie na asili ya uchi ya kiafrika?

Then ukubwa wa nguo ni fasion, fasion ya sut ndogo ni ya wakorea, americans wanavaa suti kubwa, bila shaka tundu mh tundu alivaa amerikan style.

Mwisho mshauri khalifan kuvaa suti ni kudhalilisha dini yake ya a.k.a marehemu ambaye ajijui ila watu bado humshabikia
😀
 
Back
Top Bottom