Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tundu Lissu, ni aibu jamani

Yaani nilikuwa namuhusudu huyu dada kwa hoja ila nadhani kuna mtu huwa abatumia ID ya Faiza Foz, Faiza Fox niliyemjua hakuwa hamnazo kiasi hicho cha kufikia hatua ya kutoa hoja kuhusu uzuri na thamani ya mavazi ya Wabunge, tena kwenye Jukwaa la Siasa!

Yaani wewe unanshangaza sana, hivi huoni mantiki ya kiongozi kuwa "kioo cha jamii"? umezisoma links nilizoziweka kuhusu saikolojia ya mavazi? kama hujazisoma naomba uzisome utanielewa tu.
 
mleta mada usijenifanya nikasema m.u.s.l.i.m.s are i.d.i.o.ts
 
Mm ningemshauri abadili jina asiitwe tundu kwani jina hilo linamzuru
 
Yaani wewe unanshangaza sana, hivi huoni mantiki ya kiongozi kuwa "kioo cha jamii"? umezisoma links nilizoziweka kuhusu saikolojia ya mavazi? kama hujazisoma naomba uzisome utanielewa tu.

huna la maana dada ni ushuzi mtupu umeuandika hapa.
 
Unaonaje ukiwa bi mdogo, ukawa special kwa mavazi,
 
Ulikuwa humjui, ndo uanze kumfahamu vizuri kuanzia leo.. mark my words.

Wewe uanenifahamu huuoni ukweli? au unajidaanganya nafsi yako?

Kiongozi akavae koti kama la kuazima? halafu wewe unaona ni sawa tu kwa kuwa una mapenzi na chadema? Huo ni usukule.
 
Mbona hujaweka picha tuone wewe pi.mbi? Vipi ulimwona Filipo Mangula shati alilovaa pale IKULU siku mh.rais alipokutana na viongozi wa vyama vya siasa?mbona huku sema?wivu mwingine hauna maana!au we ni gamba nini umekerwa na pointi alizokuwa akitoa mh. Lissu bungeni leo?

Njaa ni kitu kibaya sana
Hivi kweli hao watu wa b7 ni lazima waandike ch chote hata kama ni cha kipuuzi so as long as inamhusu mtu wa CDM? Hii ni aibu kwa shule na vyuo vyetu.
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?


Wewe mp.u..m..bav..u mj..inga kweli kweli ckutegemea unaleta mawazo kama haya hapa.
 
Last edited by a moderator:
Njaa ni kitu kibaya sana
Hivi kweli hao watu wa b7 ni lazima waandike ch chote hata kama ni cha kipuuzi so as long as inamhusu mtu wa CDM? Hii ni aibu kwa shule na vyuo vyetu.

Hivi wewe binafsi, acha kiongozi wako anaekuwakilisha bungeni, unaweza haswa ukavaa mkoti uliokuzidi kimo?
 
Wewe mp.u..m..bav..u mj..inga kweli kweli ckutegemea unaleta mawazo kama haya hapa.

"mp.u..m..bav..u" ni wewe ambae huujui umuhimu wa mavazi stahiki.

Wewe ndio wale mnaotoka asubuhi na kanga moja za wake zanu nje ya nyumba na kopo la maji la kupigia mswaki.
 
Heshima ya Mbunge ni Hoja

Unataka awe smart kwa suti za kuhongwa na wawekezaji kama ilivyotokea kwa mkuu wa nchi kama ilivyoripotiwa na Wikileaks?

Aliishia kuuza nchi kwa gharama ya suti.Ana tofauti gani na chifu Mangungo aliyeuza ardhi kwa Carl Peters na yeye kupewa Shanga?Afadhali Mangungo anaweza kujitetea kuwa hakua na formal education na exposure ya kutosha.Lakini Rais wa nchi wa karne hii!Gimme a break ! ! !

Anyways,Sijui Mangula na Bahama yake na Swagger za raba za Bazouk Chini alipohudhuria pale Ikulu unamuweka wapi kwa fikra zako hizi.?

Haha nimeipenda sana hii naona umeshika pabaya haha haaa
 
Nyie msitetee ujinga, nambieni nyinyi huwa mnavaa mikoti mikubwa iliyowazidi kimo mkienda kwenye mialiko yenu ya "sendoff"?
 
Haha nimeipenda sana hii naona umeshika pabaya haha haaa

Upuuzi tu, mbona hatukumponda Mbowe na tumemsifu?

Nawashangaa sana mnatetea ujinga wa kutokujuwa kuvaa.
 
Jaman kumjibu huyu cjui Faiza cjui nani, ni kama kupoteza muda, nakumbuka nimewai kuzinguana nae humu kwa thread zake hiz za kijinga.

Kwanza mjue hapa si suti, hapa ni udini ndo ametanguliza, Dunia yale hii mtu mdini ni -------- kuliko wote.

Ni sawa na wale wanaosema hapa daily eti mfanya biashara maarufu tanzania ni Dini yetu, kweli, sasa akiwa Dini yenu ndo tiketi ya peponi?

Binafsi ckuchukii faiza ila najua misingi ulionayo ndo inakutesa, huna tofauti na wanaoua wenzao kisa Dini, wakati hata iyo pepo hakuna alieenda nakurudi kuwaambia nimepokelewa kwa shangwe kwa kuua watu.

Bila shaka ka issue ingekua suti tu, usingekuja na akiba alfan cjui nani hapa.

Namlaan alie walisha ujingaa huu, ingawa nae kesha kufa.
 
Wewe ni mjinga wa fikra kwani bungeni wanaenda kufanya fashion show?ur pathedic
 
Mbumbumbu ni huyo anayeongelea WATU, si MAMBO! Mbumbumbu ni yule anayeongelea MAVAZI, si MANENO yanayosemwa na watu! Umechemkaaaaaa!
 
Back
Top Bottom