FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
- Thread starter
- #101
Wewe ni mjinga wa fikra kwani bungeni wanaenda kufanya fashion show?ur pathedic
Mjinga wa fikra ni wewe, kwani wewe unapovaa smart unakwenda kufanya fashion show? kila sehemu na uvaaji wake stahiki.
Unakwenda kuvaa mkoti kama umelazimishwa kuvaa, maana yake kwa kiongozi?
Inaonesha kuwa huyu kiongozi hayuko makini na shishangai nyie mnaotetea kuwa ni wavivu wa kufikiri na wavivu wa kuusema ukweli.