Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tundu Lissu, ni aibu jamani

Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

Unajua nilidhani umekuja na hoja za maana za kumfanya Lisu awe aibu, aibu niwewe uliye potoshwa misikitini kuonyesha chuki zako za kidini kiasi hiki mjinga wee, kikwete na Zito wana lipi lamaana kumshinda Lisu? mavazi au dini zao? Pumbaf
 
Niliwahi kukutana na hii post kwenye forum moja kuhusu dress vs intelligence!
Used to know a bloke at school. Cleverest bloke l have ever known. He knew more than the teachers. He would correct them. The teachers even said he was far beyond their (teachers) abilities to write essays in the subject of English (all his essays got 100%). He was a Maths genius too....in grade 8 he knew more than the year 12's (All the school did some type of l.Q test.....the same for the whole school. Some of the smartest kids in year 8 [my level] got around 70%, the smartest kids in year 12 got around 80 - 90%. This kid got 99.95%...he was in year 8 yet he topped the entire school in the l.Q test). He got 100% in almost everything all the time all through-out the high school years. He got 100% in all his final year subjects except for a 99% in physics. Did his doctorate in record time. A true legend. He always had an aire about him. He looked pretty scruffy but you always felt privileged to be part of his company because he was an extreme genius. He was pretty arrogant too. He ruled the kids. His personality dominated everyone, even the teachers. When he disputed something in class, the teachers would usually [and sensibly] assume that they (the teachers) were wrong and he was right. 99% in a subject always upset him badly.
Look at Bill Gates. Need I say more?
 
Heshima ya Mbunge ni Hoja

Unataka awe smart kwa suti za kuhongwa na wawekezaji kama ilivyotokea kwa mkuu wa nchi kama ilivyoripotiwa na Wikileaks?

Aliishia kuuza nchi kwa gharama ya suti.Ana tofauti gani na chifu Mangungo aliyeuza ardhi kwa Carl Peters na yeye kupewa Shanga?Afadhali Mangungo anaweza kujitetea kuwa hakua na formal education na exposure ya kutosha.Lakini Rais wa nchi wa karne hii!Gimme a break ! ! !

Anyways,Sijui Mangula na Bahama yake na Swagger za raba za Bazouk Chini alipohudhuria pale Ikulu unamuweka wapi kwa fikra zako hizi.?

ya mangu.....lah ilikuwa balaa duh Ebu huyu aliyeweka uzi huu designer wa Mangu...lah aje atujibu ilikuwaje?
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

Wewe si bure,utakuwa na kichaa huwezi ku m attack Mbunge aliyechaguliwa na wananchi.
 
Last edited by a moderator:
Mzee wa Suti...

pamba.jpg
 
Mleta uzi kweli una mapungufu ya akili,usimjaji huyo mtu kwa mavazi bali uwezo wake wa kuyaelewa matatizo ya watanzania,"AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA"
 
Hii ni thread ya hovyo kabisa kwa zama hizi.

"...wakishindwa kupata uhalali kwa hoja watajihalalisha kwa udini, kwa ukanda, kwa mavazi..."
J.K.Nyerere
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

ma ustaadhi wa al-shabab utawajua tu!
 
Last edited by a moderator:
staki kuamini ni wewe umeandka hili
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

akili makalioni kwa mtu mpumbaaaaaav kama wewe ndo unafikiria hivo
 
Last edited by a moderator:
Heshima ya Mbunge ni Hoja

Unataka awe smart kwa suti za kuhongwa na wawekezaji kama ilivyotokea kwa mkuu wa nchi kama ilivyoripotiwa na Wikileaks?

Aliishia kuuza nchi kwa gharama ya suti.Ana tofauti gani na chifu Mangungo aliyeuza ardhi kwa Carl Peters na yeye kupewa Shanga?Afadhali Mangungo anaweza kujitetea kuwa hakua na formal education na exposure ya kutosha.Lakini Rais wa nchi wa karne hii!Gimme a break ! ! !

Anyways,Sijui Mangula na Bahama yake na Swagger za raba za Bazouk Chini alipohudhuria pale Ikulu unamuweka wapi kwa fikra zako hizi.?

chifu mangungo halikuwa kosa lake.....
lakini kwa rais Alie bewa dhama ya kuongoza wananch zaidi ya million 45, anarubuniwa kwa suti....ni aibu ya karne.
 
Mleta uzi kweli una mapungufu ya akili,usimjaji huyo mtu kwa mavazi bali uwezo wake wa kuyaelewa matatizo ya watanzania,"AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA"

Hapo ndipo Watanzania tunaposhindwa kuielewa saikolojia ya binaadam.

Hivi kiongozi aende akajivalie tu mradi kavaa, huyo ni kiongozi kweli? hebu jisomee hapa kidogo kuhusu mavazi:
We carried out the research with over 300 adults (men and women). They looked at images of a man and a woman for just 3 seconds before making 'snap judgements' about them. In some of the pictures the man wore a made-to-measure suit. In others he wore a very similar off-the-peg suit bought on the high street. The differences in the suits were very minor – we controlled for all the big differences such as color and fabric, as well as making sure the face of the model was pixillated so that there could be no hidden messages in the facial expressions.
After just a 3-second exposure people judged the man more favourably in the bespoke suit. And the judgements were not about how well dressed he was.

They rated him as more confident, successful, flexible and a higher earner in a tailor-made suit than when he wore a high street equivalent.

Soma zaidi: What Your Clothes Might Be Saying About You | Psychology Today

Mbunge anaeonekana live kwenye TV, na mtandao ulivyo siku hizi, ni rahisi kuonekana dunia nzima. Anavaa koti kama la kuazima au lakutunguwa kwenye mtumba!

Huyo ni aibu kumuita kiongozi. Kiongozi anatakiwa aongoze kuanzia mavazi, maongezi, hulka, mwenendo, tabia. Kiongozi ni kioo cha jamii. Tubadilike.
 
mapro-ccm wengi wamekosa hoja....wanakuja na upuuzi kama huuu
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

UNGEWEKA PICHA YA BABA YAKO NA YA TUNDU LISSU, then wadau tufanye tafakari za ulinganifu!!
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

1383927777976.jpg 1383927798132.jpg 1383927823044.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hivi mipaka ya UMALAYA ni ipi!?? naomba kujuzwa...
 
Back
Top Bottom