Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tupia njuti alizofaa daktari wa kanoni kwenye matembezi:

14c.jpg
Hahahaha huyu lazima ndiye mentor wa Ngosha
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
Mbona yule chizi wa white milembe anapiga suti kali ila kichwani amna kitu kabisa ujamsema
 
Kunawatu vichaa alafu hawajijui kama ni vichaa moja wao ni huyu dada anayejiita faizafoxy unawezaje kujinasibu wewe ni mchamungu kwa kuvaa hijabu wakati kwenye nafsi yako ni mshirikina mchawi adui wanafsi kama unataka maonyesho ya mavazi nenda kwenye sehemu husika sisitunata hoja zilizoshiba sio mavazi
Appearance muhimu hata kwa vigezo vya dini. Kumbuka hilo.
 
Koti na uelewa (elimu) wapi na wapi? Material mu kichwa thats what matters. Ht angeenda na mgolole
 
Koti na uelewa (elimu) wapi na wapi? Material mu kichwa thats what matters. Ht angeenda na mgolole

Not good enough, hata mahakamani kuna dress codes zake, halikadhalika bungeni pia. Kumbuka hilo.
 
Ha ha ha SIX MENO NDANI YA IKULU!unanikumbusha zile enzi za njumu za akina romario,bebeto ukivaa zile hata kama hujui kutuliza ball namba tisa yako, mbavu zangu kule!!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
The idea is to speak smart not to appear smart twichty![emoji34][emoji34][emoji34]
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
Si bure....utakuwa ktk kipindi!
 
The idea is to speak smart not to appear smart twichty![emoji34][emoji34][emoji34]

If you do not appear smart no matter how smart you speak you'll simply be termed nuts.

Appearance matters the most.
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
We tezi dume, mavazi Kitu gani,mavazi ya kibunge yanaeleweka ndio yupo ndani amekidhi
 
unajisifu Bure kijana
hivi kweli unawakumbuka wazazi nyumbani?
au ubishoo wa humu JF pekee
 
Back
Top Bottom