annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
yaani hapa mangula dress code yake imeunguza picha yote.
yaani na bichwa lako lote hilo umebweteka makalio mbele ya Runinga, una watch TBC Kipindi cha Bunge mwisho wa siku ulichodaka ni Tundu Lisu amevaaje!!!? Kweli Bichwa lako ni Zigo hatareee!!
Hilo ndilo kosa kubwa la wakuja, hamjui maana ya mavazi ni nini.
Hivi wewe ukitoka kwenda harusini, unavaa kama unavyokwenda kuogelea?
Wakuja Ndio nini?kwani wewe ni wa kukaa a ni wa kwenda?mie nakuona wewe ni wa kusubilia tu huna Hoja hii dhana ya kudhani ukizaliwa Dsm unajua kuvaa ni Mawazo analojia sana Wazawa wa Dar kwa asilimia kubwa hawana Maendeleo Nenda Masaki,oyesterbay,Mikocheni,na mbezi Wamiliki wa Majumba ni Wakuja wote Tambua wakuja ni Mjanja kuliko Mzawa angalia wazawa wote wapo Kisarawe na wanazidi kwenda mbele .mavazi ya Mtu si kipimo cha Uadilifu wapa watu Nadhifu lakini matendo ni kinyume na Muonekano wao
Hata Nyerere alikuwa wakuja kama wewe, alikuwa akivaa Kaptura (siku hizo fashion ya Kiingereza). Wazee wa Dar wakamvua wakampa Suruali.
Hata Nyerere alikuwa wakuja kama wewe, alikuwa akivaa Kaptura (siku hizo fashion ya Kiingereza). Wazee wa Dar wakamvua wakampa Suruali.
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.
Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.
Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.
Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.
Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.
Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.
Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. Dr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.
Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.
Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
Upuuzi tu, mbona hatukumponda Mbowe na tumemsifu?
Nawashangaa sana mnatetea ujinga wa kutokujuwa kuvaa.