Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,452
Mwenye akili hawezi kuwa relevant kwa mwendawazimu.
Kuna wakati, TL kwa wiki zima amekuwa akiandikwa na vyombo vya habari vya Dunia nzima, positively, kuliko mwanadamu yeyote. Kama hujui kuwa TL ni maarufu kiasi hicho, huo ni ujinga wako. Hakuna wa kukusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwa sababu wafuasi wake mnapenda kutumia neno dikteta bila kujua maana yake halisi; kiongozi hawi dikteta kwa vile tu hukubalini naye au anasimamia sheria halali kwa njia inayokuumiza wewe. Kama Lissu asingekuwa ameshambuliwa, leo hii angekuwa kama viongozi wengine wa upinzani ambao siyo relevant tena- kwa mfano Mbowe na Zitto, ila kushambuliwa kwake kumempa sauti zaidi, na hata wakati wa kampeini zake za uraisi ulimsikia akitumia shambulio hilo kila mkutano; na hata huko aliko anazunguka na kusikilizwa kwa kwa sababu ya shambulio hilo hilo hilo.Tueleze pia kama 'udikteta' nao ni "uongozi wa kisiasa."
Kama unadhani "kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia" na kumfanya aendelee kuwa relevant, huoni kwamba unajichanganya kudhani kwamba alikosea kwa kuwa "mwanaharakati" ambaye unakiri bado yupo relevant?
Tueleze kosa lake ni nini hasa.