Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu

Mimi siwezi mpotezea Tundu Lisu, ndo maana nimekuja kumpa tafu ili angalau tujaze kurasa, usisahahu kunijibu ili nikujibu angalau tufike mbali kidogo, ...
umasikini ni aibu sana ! unataka ujibiwe ili ujaze kurasa ili iweje ? ni hivi , tunapoweka nyuzi hapa jf hatutegemei mtu duni kama wewe kuchangia , halafu mnajipendekeza tu , mbona mimi sihangaiki na nyuzi za kijinga za ccm zinazoletwa hapa ,wewe unashindwa nini ?
 
umasikini ni aibu sana ! unataka ujibiwe ili ujaze kurasa ili iweje ? ni hivi , tunapoweka nyuzi hapa jf hatutegemei mtu duni kama wewe kuchangia , halafu mnajipendekeza tu , mbona mimi sihangaiki na nyuzi za kijinga za ccm zinazoletwa hapa ,wewe unashindwa nini ?

Angalau tusogeze uzi wa Tundu Lisu, siyo vizuri wanavyompotezea, nashindwa nini kufanya nini ?
 
Wakati nchi yetu ilikuwa ikisifiwa huko nje na mabeberu huku ndani walikua wakitufilisi. Kwa Sasa tunashuhudia jinsi tulivyokua tunasifiwa na Mabeberu kumbe ndio mwanya walikua wakiutumia kutunyonya.
Kuna akili kidogo ya kufikirisha hapo! Wakati huo hao mabeberu wakitufilisi (kama mnavyo aminisha wajinga) mbona maisha yalikuwa ya nafuu na kiwango cha furaha kwa Mtanzania kilikuwa juu?
Hizi propaganda za kijinga mtaziacha lini?

Screenshot_20201225-141342.jpg
 
Shetani hawezi kuwatakia watu wa Mungu kheri ya Krismas. Ujumbe ndio huo
Hapa Tanzania shetani ni yule atoaye salaam na kuwatakia Heri Wananchi wenzake ama yule abebaye vyombo vya kukusanyia sadaka bila kustahili?
Protocol ya kanisa na Taifa zinavurugwa wazi wazi,nasi tunashangilia kama mazuzu.Sifahamu Watanzania wamepatwa na nini hasa?
 
Utazidi kuchakaa huku siku zinakwenda.
Mtachakaa nyie ambao hadi makanisani mnafanya comedi ya kukusanya mapato (sadaka) na makamera kumikumi.
Nchi imewashinda hadi wanao wajengea vyoo (sehemu za kujisaidia) mnawaita mabeberu bila hata aibu! Hata wale walio fungiwa pale Mirembe sio ajabu wanashangaa hivi hawa walio tuleta huku wako sawa kweli?
 
Angalau tusogeze uzi wa Tundu Lisu, siyo vizuri wanavyompotezea, nashindwa nini kufanya nini ?
Wanampotezea Lissu? Kumbe we ni fala tuu na huna impact yeyote ndani ya nchi hii.
Wenzio wenye akili kila siku kuna morning discussion ya nini Lissu katamka huko aliko na lina athari gani internal na international.
We na vuvuzela wenzio mnapiga tuu makofi na kushangilia wenzenu wanaumiza vichwa kila wasikiapo jina Lissu
 
Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu.

==========

TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo.
Kwa wakristo wote, Noeli ni sikukuu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu Kristo aliyetolewa na Mungu kama yanavyosema maneno ya kitabu cha Yohana aya ya tatu mstari wa 16 'Ili kila mtu amuaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele'.

Sikukuu hii inatukumbusha kuhusu moyo wa kutoa na moyo wa kusamehe kwa sababu kama yanavyosema maandiko matakatifu, Yesu Kristo alizaliwa ili wote wanaomuamini wasemehewe. Katika kalenda ya Kikristo hii ndio siku ya furaha na sherehe kuliko nyingine zote lakini Krismas ni zaidi ya siku ya furaha na sherehe.

Ni siku pia ya kuwakumbuka na kuwasaidia wale wote walio na shida na matatizo mbalimbali, Mwinjilisti Ruth aliwahi kusema "Krismas ni krismas kweli tunaposheherekea kwa kuwapa mwanga wa upendo wale wanaouhitaji zaidi" Wapo wengi wanaohitaji mwanga huu wa upendo katika nchi yetu ya Tanzania katika kipindi hiki cha Noeli.

Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi yetu na kwa wananchi wetu, wote tulishuhudia haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka ikipokwa kwa mtutu wa bunduki na kwa kutumia vyombo vya usimamizi wa uchaguzi na vya serikali visivotenda haki sawasawa, wapo ambao ndugu zao waliuawa au waliojeruhiwa na kulemazwa wakati wa uchaguzi mkuu na hata kabla ya hapo.

Wapo waliokamatwa na kustakiwa au wanaoendelea kushkiliwa magerezani au kwenye vituo vya polisi kwa tuhuma za uongo, uonevu na kwa sababu za kisisasa.

Wapo pia ambao wamefukuzwa kazi, wamebomolewa nyumba au kuharibiwa biashara zao au kunyang'anywa pesa na mali zao kwa madai ya uongo ya ukwepaji kodi au kwa tuhuma zisizo za kweli za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Wengine kama mimi mwenyewe wamelazimika kuikimbia nchi yetu kwa sababu ya njama na vitisho vya mauaji dhidi yao. Aidha, wapo kwa mamilioni mengi wanaosononeka kimya kimya kwasababu ya kutokupatiwa ajira au kkwa kutolipwa mishahara au pensheni zao halali au kwa kutotendewa haki zao nyingine mbalimbali.

Kwa wote hawa wenye njaa na kiu ya haki, ujumbe wangu wa Krismas ni uleule alioueleza mwandishi wa riwaya wa kimarekani, Taylor Caldwell, "Hatuko peke yetu, hata usiku unapokuwa wa giza zaidi au upepo wa baridi kali au ulimwengu unapoonekana kutokujali kabisa" Hatuko peke yetu, kwahiyo tusivunjike moyo au kukata tamaa, wiki ijayo katika salamu zangu za mwaka mpya nitawazungumza kwa kirefu kidogo juu ya maswala haya na mengine mengi na juu ya majukumu yetu kwa mwaka ujao kuhusu nchi yetu.

Nawatakieni sikukuu ya Noeli yenye furaha

View attachment 1658577
Naona "Rais" wa mioyo ya watu ameokoka huko Ubeparini
 
Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu.

==========

TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo.
Kwa wakristo wote, Noeli ni sikukuu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu Kristo aliyetolewa na Mungu kama yanavyosema maneno ya kitabu cha Yohana aya ya tatu mstari wa 16 'Ili kila mtu amuaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele'.

Sikukuu hii inatukumbusha kuhusu moyo wa kutoa na moyo wa kusamehe kwa sababu kama yanavyosema maandiko matakatifu, Yesu Kristo alizaliwa ili wote wanaomuamini wasemehewe. Katika kalenda ya Kikristo hii ndio siku ya furaha na sherehe kuliko nyingine zote lakini Krismas ni zaidi ya siku ya furaha na sherehe.

Ni siku pia ya kuwakumbuka na kuwasaidia wale wote walio na shida na matatizo mbalimbali, Mwinjilisti Ruth aliwahi kusema "Krismas ni krismas kweli tunaposheherekea kwa kuwapa mwanga wa upendo wale wanaouhitaji zaidi" Wapo wengi wanaohitaji mwanga huu wa upendo katika nchi yetu ya Tanzania katika kipindi hiki cha Noeli.

Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi yetu na kwa wananchi wetu, wote tulishuhudia haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka ikipokwa kwa mtutu wa bunduki na kwa kutumia vyombo vya usimamizi wa uchaguzi na vya serikali visivotenda haki sawasawa, wapo ambao ndugu zao waliuawa au waliojeruhiwa na kulemazwa wakati wa uchaguzi mkuu na hata kabla ya hapo.

Wapo waliokamatwa na kustakiwa au wanaoendelea kushkiliwa magerezani au kwenye vituo vya polisi kwa tuhuma za uongo, uonevu na kwa sababu za kisisasa.

Wapo pia ambao wamefukuzwa kazi, wamebomolewa nyumba au kuharibiwa biashara zao au kunyang'anywa pesa na mali zao kwa madai ya uongo ya ukwepaji kodi au kwa tuhuma zisizo za kweli za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Wengine kama mimi mwenyewe wamelazimika kuikimbia nchi yetu kwa sababu ya njama na vitisho vya mauaji dhidi yao. Aidha, wapo kwa mamilioni mengi wanaosononeka kimya kimya kwasababu ya kutokupatiwa ajira au kkwa kutolipwa mishahara au pensheni zao halali au kwa kutotendewa haki zao nyingine mbalimbali.

Kwa wote hawa wenye njaa na kiu ya haki, ujumbe wangu wa Krismas ni uleule alioueleza mwandishi wa riwaya wa kimarekani, Taylor Caldwell, "Hatuko peke yetu, hata usiku unapokuwa wa giza zaidi au upepo wa baridi kali au ulimwengu unapoonekana kutokujali kabisa" Hatuko peke yetu, kwahiyo tusivunjike moyo au kukata tamaa, wiki ijayo katika salamu zangu za mwaka mpya nitawazungumza kwa kirefu kidogo juu ya maswala haya na mengine mengi na juu ya majukumu yetu kwa mwaka ujao kuhusu nchi yetu.

Nawatakieni sikukuu ya Noeli yenye furaha

View attachment 1658577
Nilitegemea kuna jipya kumbe ni yale yale marudio kulia lia sound!
 
Tangu lini 'mshitaki wa watu wa Mungu' (shetani) akawa mcha Mungu na kuwatakia watu kheri ya Krismas? Makubwa haya!
Aliwadanganya Adam na Eva kwa kujifanya ni malaika wa nuru, kumbe hakuna lolote.
Mwambie tumeshituka, hatudanganyiki na salamu za kizandiki.
Mwenda kutembea kanisani kila jumapili huku akivuja damu za watu Zanzimana ndio mnaona mcha Mungu?.
 
Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu.

==========

TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo.
Kwa wakristo wote, Noeli ni sikukuu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu Kristo aliyetolewa na Mungu kama yanavyosema maneno ya kitabu cha Yohana aya ya tatu mstari wa 16 'Ili kila mtu amuaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele'.

Sikukuu hii inatukumbusha kuhusu moyo wa kutoa na moyo wa kusamehe kwa sababu kama yanavyosema maandiko matakatifu, Yesu Kristo alizaliwa ili wote wanaomuamini wasemehewe. Katika kalenda ya Kikristo hii ndio siku ya furaha na sherehe kuliko nyingine zote lakini Krismas ni zaidi ya siku ya furaha na sherehe.

Ni siku pia ya kuwakumbuka na kuwasaidia wale wote walio na shida na matatizo mbalimbali, Mwinjilisti Ruth aliwahi kusema "Krismas ni krismas kweli tunaposheherekea kwa kuwapa mwanga wa upendo wale wanaouhitaji zaidi" Wapo wengi wanaohitaji mwanga huu wa upendo katika nchi yetu ya Tanzania katika kipindi hiki cha Noeli.

Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi yetu na kwa wananchi wetu, wote tulishuhudia haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka ikipokwa kwa mtutu wa bunduki na kwa kutumia vyombo vya usimamizi wa uchaguzi na vya serikali visivotenda haki sawasawa, wapo ambao ndugu zao waliuawa au waliojeruhiwa na kulemazwa wakati wa uchaguzi mkuu na hata kabla ya hapo.

Wapo waliokamatwa na kustakiwa au wanaoendelea kushkiliwa magerezani au kwenye vituo vya polisi kwa tuhuma za uongo, uonevu na kwa sababu za kisisasa.

Wapo pia ambao wamefukuzwa kazi, wamebomolewa nyumba au kuharibiwa biashara zao au kunyang'anywa pesa na mali zao kwa madai ya uongo ya ukwepaji kodi au kwa tuhuma zisizo za kweli za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Wengine kama mimi mwenyewe wamelazimika kuikimbia nchi yetu kwa sababu ya njama na vitisho vya mauaji dhidi yao. Aidha, wapo kwa mamilioni mengi wanaosononeka kimya kimya kwasababu ya kutokupatiwa ajira au kkwa kutolipwa mishahara au pensheni zao halali au kwa kutotendewa haki zao nyingine mbalimbali.

Kwa wote hawa wenye njaa na kiu ya haki, ujumbe wangu wa Krismas ni uleule alioueleza mwandishi wa riwaya wa kimarekani, Taylor Caldwell, "Hatuko peke yetu, hata usiku unapokuwa wa giza zaidi au upepo wa baridi kali au ulimwengu unapoonekana kutokujali kabisa" Hatuko peke yetu, kwahiyo tusivunjike moyo au kukata tamaa, wiki ijayo katika salamu zangu za mwaka mpya nitawazungumza kwa kirefu kidogo juu ya maswala haya na mengine mengi na juu ya majukumu yetu kwa mwaka ujao kuhusu nchi yetu.

Nawatakieni sikukuu ya Noeli yenye furaha

View attachment 1658577
Raisi wa JMT alishiye uhamishoni
 
Huyu ni shetani au Ndugu yake shetani..
Mnafiki mkubwa huyu....unaiombea nchi mabaya halafu unajidai unatoa salaam eti kwa Watanzania wote...Binafsi Sina haja na salaam zake...yaani wanaCCM huwa anawaita MaCCM kwa kejeli na chuki halafu eti anawatakia Christmas's njema...
Maccm majizi
 
Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu.

==========

TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo.
Kwa wakristo wote, Noeli ni sikukuu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu Kristo aliyetolewa na Mungu kama yanavyosema maneno ya kitabu cha Yohana aya ya tatu mstari wa 16 'Ili kila mtu amuaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele'.

Sikukuu hii inatukumbusha kuhusu moyo wa kutoa na moyo wa kusamehe kwa sababu kama yanavyosema maandiko matakatifu, Yesu Kristo alizaliwa ili wote wanaomuamini wasemehewe. Katika kalenda ya Kikristo hii ndio siku ya furaha na sherehe kuliko nyingine zote lakini Krismas ni zaidi ya siku ya furaha na sherehe.

Ni siku pia ya kuwakumbuka na kuwasaidia wale wote walio na shida na matatizo mbalimbali, Mwinjilisti Ruth aliwahi kusema "Krismas ni krismas kweli tunaposheherekea kwa kuwapa mwanga wa upendo wale wanaouhitaji zaidi" Wapo wengi wanaohitaji mwanga huu wa upendo katika nchi yetu ya Tanzania katika kipindi hiki cha Noeli.

Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi yetu na kwa wananchi wetu, wote tulishuhudia haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka ikipokwa kwa mtutu wa bunduki na kwa kutumia vyombo vya usimamizi wa uchaguzi na vya serikali visivotenda haki sawasawa, wapo ambao ndugu zao waliuawa au waliojeruhiwa na kulemazwa wakati wa uchaguzi mkuu na hata kabla ya hapo.

Wapo waliokamatwa na kustakiwa au wanaoendelea kushkiliwa magerezani au kwenye vituo vya polisi kwa tuhuma za uongo, uonevu na kwa sababu za kisisasa.

Wapo pia ambao wamefukuzwa kazi, wamebomolewa nyumba au kuharibiwa biashara zao au kunyang'anywa pesa na mali zao kwa madai ya uongo ya ukwepaji kodi au kwa tuhuma zisizo za kweli za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Wengine kama mimi mwenyewe wamelazimika kuikimbia nchi yetu kwa sababu ya njama na vitisho vya mauaji dhidi yao. Aidha, wapo kwa mamilioni mengi wanaosononeka kimya kimya kwasababu ya kutokupatiwa ajira au kkwa kutolipwa mishahara au pensheni zao halali au kwa kutotendewa haki zao nyingine mbalimbali.

Kwa wote hawa wenye njaa na kiu ya haki, ujumbe wangu wa Krismas ni uleule alioueleza mwandishi wa riwaya wa kimarekani, Taylor Caldwell, "Hatuko peke yetu, hata usiku unapokuwa wa giza zaidi au upepo wa baridi kali au ulimwengu unapoonekana kutokujali kabisa" Hatuko peke yetu, kwahiyo tusivunjike moyo au kukata tamaa, wiki ijayo katika salamu zangu za mwaka mpya nitawazungumza kwa kirefu kidogo juu ya maswala haya na mengine mengi na juu ya majukumu yetu kwa mwaka ujao kuhusu nchi yetu.

Nawatakieni sikukuu ya Noeli yenye furaha

View attachment 1658577

Maneno kuntu na mazito sana.

Hatuko peke yetu.

Tungekuwa bora mno na kiongozi kama huyu. Kuliko watufanyao misukule!
 
Back
Top Bottom