Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Hii nchi ina mavijana mengine ya hovyo sana, sasa unafikiri huyo mtu "mgonjwa" anaweza kua rais wa Tanzania?? Nakuombea upone haraka sana kijana wa hovyo hovyo. Jiwe mpaka 2025 bila kupepesa macho
huyu anajisumbua bure
 
Hii michezo kuna watu wanashangilia na hawajui wanashangilia nini?
 
Ujue wewe ni mtu mpumbavu kupita binadamu wote Duniani kwa ufala wako utadhani hiyo mifano yako ya kishamba toka kolomije ina mashiko? Kwa taarifa yako wewe mbweha mbumbumbu mtetezi wa CCM usiye na haya ni kwamba zile cctv ni mali ya Serikali ziliwekwa pale kulinda nyumba zote zinazozunguka eneo husika na Mtu aliyekwenda kuzing’oa cctv ni mbunge wa chato pamoja na Daud Arbaty Bashite aliyekuwa kaambatana na Le mutuz, ziling’olewa siku moja baada ya shambulio kwa Tundu Lisu hazikuwa mbovu wala kisingizio chochote, sababu ya kuzing’oa ni kuficha ushahidi juu ya picha na video zilizokuwa zinaonyesha watuhumiwa wote walioshiriki kumshambulia Tundu Lisu kwa Risasi, watuhumiwa walionasa kwenye video na picha vizuri ni Cyprian musiba, Heri kisanduku na jerry muro lakini Bashite na le mutuz hawakushuka kwenye gari wao picha zao hazionekani wakati wa shambulio lakini wakati wanaenda kuzing’oa picha zipo na ndiyo maana hizo cctv camera zilienda kufichwa nyumbani kwa Daud Arbaty Bashite kukwepa kusambaa kirahisi.

Acha kuongea blah blah wewe,hivi unajua unachokiongea au unaongea tu?kama ishu ilkuwa kuficha ushahidi kwanini wang'oe camera zote badala ya kuchukua tu recording ya siku hiyo na kusepa nayo?
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Nenda wewe badala yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikifika 2021 tutakuja kukumbushana panapo majaaliwa ya Mungu kuhusu Mbio hizi Za Sakafuni Kama Ambavyo tunajikumbusha thread Za Lowassa Za kabla ya Uchaguzi wa 2015 japo wakati huo tulionekana tunasema Uongo!
2021 una uhakika nayo wewe Mungu, mtu anaweza asiwepo wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aache umbeya kwa watu ulishawahi ona mzungu au mmarekani anazunguka nchi za kiafrika kuongelea matatizo ya nchini kwake kutafuta huruma za waafrika? Mswahili kuzurura kwa wazungu na wamarekani kuongelea matatizo ya nchini kwake ni umbeya.Ndio maana mitaani ukipita Wala watu hawana habari za Lisu Wala mbowe aliye rumande watu wanaendelea na shughuli zao za maisha hawajali Cha Lisu yuko wapi Wala mbowe yuko wapi.Siasa ziko huku mitandaoni tu
Lissu hazungumzii matatizo ya nchi anaongelea kikundi cha watu wakatili ambao wanatawala Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutegemee mudhara mzuri kwa dunia kufahamu siasa zinazoendelea Tanzania chini ya chama kikongwe gandamizi cha CCM kisichofuata katiba, sheria, chaguzi za haki/usawa, demokrasia ya vyama vingi wala utawala bora.

Jennifer G. Cooke, Director of The Institute of African Studies, George Washington University Elliot School of International Affairs, joins straight talk Africa to discuss why there is tension between voters and the government, since the government it taking a while to release results.
Source : TV2 Africa
 
hamna akili nyie kunguni yaani nchi inavyonyooka hivi mnasema imekuwa shamba la bibi tatizo lenu nikwamba hamuwezi kuiba tena kama mlivyokuwa mmezoea mtaishia kulalamika hovyo tu hampati kitu matajutaaaaa
Utakuwa ni zwazwa, nchi inanyooka wakati Mjomba na Mpwa wanajichotea na kugawa wanavyojisikia
 
Back
Top Bottom