Ujue wewe ni mtu mpumbavu kupita binadamu wote Duniani kwa ufala wako utadhani hiyo mifano yako ya kishamba toka kolomije ina mashiko? Kwa taarifa yako wewe mbweha mbumbumbu mtetezi wa CCM usiye na haya ni kwamba zile cctv ni mali ya Serikali ziliwekwa pale kulinda nyumba zote zinazozunguka eneo husika na Mtu aliyekwenda kuzing’oa cctv ni mbunge wa chato pamoja na Daud Arbaty Bashite aliyekuwa kaambatana na Le mutuz, ziling’olewa siku moja baada ya shambulio kwa Tundu Lisu hazikuwa mbovu wala kisingizio chochote, sababu ya kuzing’oa ni kuficha ushahidi juu ya picha na video zilizokuwa zinaonyesha watuhumiwa wote walioshiriki kumshambulia Tundu Lisu kwa Risasi, watuhumiwa walionasa kwenye video na picha vizuri ni Cyprian musiba, Heri kisanduku na jerry muro lakini Bashite na le mutuz hawakushuka kwenye gari wao picha zao hazionekani wakati wa shambulio lakini wakati wanaenda kuzing’oa picha zipo na ndiyo maana hizo cctv camera zilienda kufichwa nyumbani kwa Daud Arbaty Bashite kukwepa kusambaa kirahisi.