wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Eti Bashiru alisema Sokoine alikufaje?
Sent from my iPhone using JamiiForums