KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,515
- 89,009
Ha ha! Hivi watz mbona mnahangaika na matukio madogo namna hii.? Huyu ni mwana siasa na kama atakipata cheo cha urais kama akigombea basi kunadalili kubwa ya kulipiza visasi na si kazi ya cheo kile hicho ndicho nnacho kiona maana hata huyo jiwe kawabadilikia watu hewani imebaki kulalama sidhani kama kuzunguka kwake kuleta tija tu na hasara mkumbuke pia! Hapa sio ushabiki tuuweke pembeni muda mwengine tupembue mambo.. ugomvi wa watu kadhaa msije kuukuza kwa taifa zima tupime viongozi na sio kushabikia tu.. moja kati ya kitu ambacho ili utoe maamuzi sahihi ni kuwa na taarifa sahihi.
Kuongoza si jambo lakitoto kumbuka Kuna msemaji na mtendaji hivi ni vitu viwili tofauti nasubiri lisu amshtaki aliemfanya hivyo ili nione weledi wake na ukweli wa ayasemayo.
Alasivyo kaa ukijua upo kwenye ombwe kubwa la giza ukifurahia kesi za malipizi.
Kuongoza si jambo lakitoto kumbuka Kuna msemaji na mtendaji hivi ni vitu viwili tofauti nasubiri lisu amshtaki aliemfanya hivyo ili nione weledi wake na ukweli wa ayasemayo.
Alasivyo kaa ukijua upo kwenye ombwe kubwa la giza ukifurahia kesi za malipizi.