Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Kitendo cha serikali ku-panic kufuatia hizi ziara kinaonyesha wazi kuwa wao ndio walimsababishia Lissu yoote hayo na wala hilo halina ubishi tena. All the best Lissu.
 
Utakuwa ni zwazwa, nchi inanyooka wakati Mjomba na Mpwa wanajichotea na kugawa wanavyojisikia
anayoyafanya huyaoni ?utalinganisha na vipidi vingine mlivyozoea vya kujichotea tu hela ya uma mpaka mtoto wa miaka kumi mnakutana bar nae eti antozungusha round amepata wapi pesa komaeni hakuna vya bure hapa
 
Kitendo cha serikali ku-panic kufuatia hizi ziara kinaonyesha wazi kuwa wao ndio walimsababishia Lissu yoote hayo na wala hilo halina ubishi tena. All the best Lissu.
aliye panic hapo ni nani unaweza kutuambia nani kapanic na amepanic vipi huyo anchofanya i kama anmpigia mbuzi gitaa hakuna taifa litakalo tulazimisha kufuata uongo anaoutanaza huko anajichosha tu
 
kuna mtu atawakilishwa kesho kwenye maazimisho ya siku ya sheria, joto litakuwa limempanda
 
Kwahyo M7 unamlinganisha na baba yako jamaa anamapungufu mengi kwenye swala la demokrasia but when it comes to economy the man is smart enough that's why u can not see him attacking investors and business industry.
Bob Wine of Uganda did the same....what happened?nothing ...Museveni bado yuko anadunda
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.

Hope kuna mtu unamlinganisha naye hapa nyumbani lakini hujatajia ili tupime!
 
Without any credible evidence!!!!!!?/

Evidence! You must be a devil. Why do you think the authorities prevented the police from carrying out investigations? It is precisely because they know only too well that the attempted assassination was so crudely planned and executed that the criminals would have been captured within less than 24hrs. Every Tanzanian, including yourself knows who wanted him dead.
 
Back
Top Bottom