Mbona unawapenda ma dictator akina Mseveni ?!. Wameua watu mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siongelei u dictator bali naongelea anayo fanya Tundulisu ni yale yale aliyo fanya Bob wine na wengine wengi abayo hayakuleta impact yoyote katika nchi zao..na vivyo hivyo wont bring any negative impact to our country....mark my words