TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,302
- 28,016
Jimmy ...kaona nini...!? Ama wanamzunguka...Jimmy!?
Ufipa prophet.Tanzanian Prophet huyo wewe ata aombe kwa kupiga magoti tutampa tu
Msikilize anatumia hali yake kutapeli - sikiliza mpangilio wake wa kitapeli wajinga ndio waliwao! Nilijua kuwa itaishia hivyo kutapeli.
Wewe ni zezeta mstaafu au, mikono, miguu, kiuno zote ni sehemu za mwili ata angepigwa risasi 1000 kwa iyo usistuke sana kuskia risasi 16 zilimwingia kikubwa zilimwingia wap? Kiunoni kushuka chini rate ya kusurvive ni kubwa tofauti ingekuwa kiunoni kupanda juu...mahaba yamekuzidia sana wew bavicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani huyu ndugu yenu akiwa anaomba anakuwa mpole hivi? Kweli njaa haina ukamanda. Nimecheka sanaĹissu ni msema Kweli mungu msaidie
Njaa haina ukamanda. Lissu tayari kasandaLissu hajawahi kuwa mtumwa wa fikra za watala wajinga
Kukubali kuwa mtumwa za fikra za watawala ni kuuza utu, jambo ambalo lissu kwake ni msamiati mgumu
Hao akina Nelson Mandela walikuwa wanaahidiwa mamilioni ya fedha na cheo ili waache harakati za kutetea waafrika wenzao, lakini pesa na vyeo hawakuona thamani yake ikiwa jamii ya watu weusi wenzio wakiwa ktk mateso ya makaburu
Lissu namfananisha na akina Dr Rev. Martin Luther King Jr, Malcolm x na wapigania haki za watu weusi wengine nchini Marekani waliojitoa kwa ajili ya jamii pana ya wamarekani weusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpiganaji wa kweli hawezi kuomba msaada kitapeli namna hiyo. Lissu atambue kuwa njaa haina ukamandaHayo ndio maisha ya mwanaume. Hakuna cha ajabu kwa mpiganaji, labda kama ww unategemea mshahara tu ndio utaona tofauti.
Msikilize anatumia hali yake kutapeli - sikiliza mpangilio wake wa kitapeli wajinga ndio waliwao! Nilijua kuwa itaishia hivyo kutapeli.[/QUOTE
miongoni mwa wajinga nawe umo
Ama kweli adui muombee njaa na njaa haina ukamanda. Lissu akiwa anaitukana serikali huwa na sauti Kali kuliko speakers za Bose au JBL...sasa katandikwa njaa kawa mpole kama mtoto mchanga. Na bado akijikuta peke yake ndiyo atajua makamanda ni wa karatasi tuHivi unadhani yeye na Magu Nani anakosa Amani moyoni? Nani anakosa usingizi kwa dhambi zake?
Yule anayelilia kuombewa daily ndio mwenye kukosa Amani moyoni. Lissu hajawahi kula rushwa wala kuiba trilion za watu that's why anawashirikisha wengine hali yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Arudi tu nyumbaniMaisha ya Ulaya ni magumu kama huna kipato khasa huko Ubelgiji hivyo Tundu Lissu kuomba msaada wa kuchangiwa si jambo la ajabu.
Tukumbuke fedha anazopewa zikifika Ubelgiji zinakuwa ndogo kutokana na kubadilishwa TShillings kuwa Euros.
Hivyo akilipia masuala madogo tu fedha hizo zaisha kama waya.
HUYU NI MBINAFSI SANA SASA AKIPEWA NCHI SI MISAADA YOTE ATASEMA YA KWAKE HATUFAI KABISAPathetic!!!!!
Yanafurahishaa.Yajayo ..................
Njaa haina ukamanda. Atanyooka tu huyoUnajua tofautisheni kudai na Kuomba anapomuwakia Ndugai anawaka moto anapotuomba Watanzania anaongea lugha ya kuomba,mbona yule fala wenu wakati anaomba kura alipiga hadi pushups na bado akaiba vilevile.
Duuuuuuuuuuuuh !!!!!
Ama kweli ! Mtu aliyekuwa anaongea kwa ujeuri na ufedhuli mkubwa takribani siku nne zimepita leo hii anabembeleza achangiwe apate chakula ! Anaongea kwa sauti ya unyonge mpaka mimi mwenyewe natamani kulia.
Njaa haina ukamanda. Atanyooka tu huyo
Huyu jamaa ni tapeli sana. Tayari ameshajua akili ya nyumbu na wao walivyo wameshaanza kumchangia. Aka kweli wajinga ndiyo waliwao
Humu makamanda wanamjaza sifa za kipuuzi na sasa kaanza kuumbukaKabisaaaaaaa
Kwa wazungu huyo atakuwa anaomba kwa kuwalilia bila aibu.. eeeeh
Kuna gazeti limeandika anakaa kwenye nyumba ya mtu huko Belgium.
Lakini Mimi nakula, watoto wana karo, Nina mahali pa kulala. Lissu je? Njaa haina ukamandaNJAA YA KICHWA NI KAMA HII ULIYONAYO WEWE