sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,143
Kwamba kupitia maneno yake kuna miradi ya taifa inakwama? Ulinzi umetetereka? Mapato hayakusanywi? Wananchi hawachapi kazi? Ndio kwaaanzaa serikali iko busy na miradi mikubwa kwa maendeleo safi ya watanzania. Nyinyi endeleeni kupigia chapuo ushoga na wizi wa mabeberu na hatutakubali kuwaacha hivi hivi lazima muwajibishwe kisheria kama mwenyekiti sugu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Lissu shetani kashindwa na hiyo ndiyo sababu ya mateso haya mnayoyapitia, mashetani wakubwa. Mliyoyapanga gizani Mungu kayapangua na ndio sababu mnapayuka hovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app