HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,056
- 1,212
Hadi 2mEnzi za mkwere nyumba Kama hii lazima icheze 1.2million mpaka 1.5million
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi 2mEnzi za mkwere nyumba Kama hii lazima icheze 1.2million mpaka 1.5million
Sent using Jamii Forums mobile app
40 hupati mtu mkuu, sikukatishi tamaa, ila huo ndio ukweli. 40 million unapata machine kweli na ni low km sio kama hiyo
40 unavuta kitu vanguard unabaki na hela ya mtaji
Na hiyo bei haviendani. Labda mtu atoke sitimbi ndio uta mtwanga hiyo bei.. michezo ya madalali inajulikanaNyie ndio mnaosababisha madalali washushe km kwani hzo zinashida gan?
Nipe tofauti ya Vanguard na Hiyo gari. Ni mala mia kwa hiyo hela mtu achukue Vanguard iliyotumika japana ya kuanzia 2010 + nankuendelea anabaki na hela ya bima, na wese la kuanzi ja service, sio hilo dude dude lakeVanguard utafananisha na hiyo gari duh
Low mileage sio issue,tatizo ni hiyo bei 40m,hiyo mil 40 japan unachukua gari Kali sana Kama hilo40 hupati mtu mkuu, sikukatishi tamaa, ila huo ndio ukweli. 40 million unapata machine kweli na ni low km sio kama hiyo
Nakuambia kwa hiyo 40 million, unapata hata Range Rover Sport kali kinoma, Vogue au Hata land rover iliyo nyooka au hata X6.. sio kwa hiyo prado tena ya 2004 kha.. kweli madalali nyoso 😎😎😎😎. Hapo unakuta mwenye mali anaiuza hata million 20, ila dalali anapiga mala mbili yakeLow mileage sio issue,tatizo ni hiyo bei 40m,hiyo mil 40 japan unachukua gari Kali sana Kama hilo
Madalali wana msemo wao 'kufa kufaana'😆Nakuambia kwa hiyo 40 million, unapata hata Range Rover Sport kali kinoma, Vogue au Hata land rover iliyo nyooka au hata X6.. sio kwa hiyo prado tena ya 2004 kha.. kweli madalali nyoso 😎😎😎😎. Hapo unakuta mwenye mali anaiuza hata million 20, ila dalali anapiga mala mbili yake
Hovyo sana wale watuMadalali wana msemo wao 'kufa kufaana'😆
Petrol, ghali saaana!TSh 40,000,000
Bei inazungumzika, Imetumika, Ya 2004, Namba D, sasa ipo TZ, imeshalipwa ushuru, Imetembea 134000km, Automatic, 4 wheel drive, petrol, 2700cc Kwa habari Zaidi kuhusu hii gari wasiliana name kwa simu/whatsapp +255784225000.