dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Hebu nielekeze kitu, hii apartment ipo ghorofani huko, ina maana chini yake kuna ahorofa ingine na pengine juu yake zipo zingine. Swali langu ni je hao wengine wakiamua kuvunja ghorofa zao mmiliki wa apartment hii inakuwaje?Ni Apartment yenye ukubwa sqm 250
Ina muonekano wa kuvutia.
Ina Sea View (Muonekano wa Bahari na City View (Muonekano wa Mji). Muonekano wa jiji na bahari unaonekana ikiwa umesimama au umekaa katika balicony na vibalaza.
Ina vyumba vitatu vya kulala vinavyojitoshereza, subule kubwa, jiko la kisasa na mahala pa kulia,
Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote
Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora! Wahi nyumba hii sasa.
Inauzwa na furniture zake. Ipo katika jengo lenye lift, genereta, bwawa la kuogelea na gym.
Panga siku na muda wa uje ujionee mwenyewe.
Mawasiliano +255 755 312 233
View attachment 2421887